Nimepata mchepuko mwenye umri wa miaka 21; nafanyaje nisiendelee nao?

tafuta pesa kijana na wewe uje ufaidi
 
Mzee mwenzangu unaonekana huna ujuzi wa kuchepuka kabisa
 
tafuta pesa kijana na wewe uje ufaidi
Pesa ninayo tayari vijana wenzangu nawa pigia debe wana teseka sana. Uchumi wa kati ajira hamna matumizi kwa wiki 500k, watawezana? wazee mkiacha kuhonga hawa mabinti mitazamo itabadilika na kurudi kwa vijana wenzao
 
Halana lolote hako


Maisha magumu mtaani anataka akachune


Mwambie umefukuzwa kazi una madeni uone kama katarudi....
 
watoto was umri huo ni wasumbufu na nusu
 
Duh

Kazi kweli kweli. Eti huyu nae baba. Haha [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23] watoto wana hasara [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atanikumbuka... Chumba huzaa mahitaji na matumizi... Kishapo wivu halafu mimba na hatimaye mtoto... Baada ya hapo shetani husimamia ukucha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee but, huchepukagi kwani? Lol
 
Mkuu nipe namba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…