Nimepata mchumba bikra, anafaa kwa ndoa?

Nimepata mchumba bikra, anafaa kwa ndoa?

Eeh ndo ivo, kijiji nilichokulia, kulikua na jamaa familia yao kidogo ilikua well off af alikua na geto, yule muuni kila msichana anaechipukia alipita nae yeye, mpaka viniji vya jirani
aseeee kwahiyo mlimuacha tu apite na mademu zenu kisa vijisent vya huyo jamaa,,ooh poor nyie😂🙌🏾
 
Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana

Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue mtu mzima tu?

Najiuliza kwakua bado ni mdogo Labda baadae atakuja kunisumbua kiukwel npo kwenye mawazo makali sana.. Naomben ushaur nimchukue au nimuache nitafute mtu mzima mwenzangu.

Mimi Nina 30 kwa sasa
Tatizo ni Kondoa
 
Wakuu mnasemaga humu kama dem sio bikra ukioa unakua umeoa mke wa mtu…. KWAHIYO NIWEKE NDAN HII MALI AU NIACHE TU…. Maomben ushaur wa mwisho nyie ndo mnajua mambo Mengi watu wa hum nawakubal sana akili kubwa
 
Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana

Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue mtu mzima tu?

Najiuliza kwakua bado ni mdogo Labda baadae atakuja kunisumbua kiukwel npo kwenye mawazo makali sana.. Naomben ushaur nimchukue au nimuache nitafute mtu mzima mwenzangu.

Mimi Nina 30 kwa sasa
Kama humtaki nipe mimi
 
Back
Top Bottom