based on my experience, mingling with victims, my romantic relationship na hao subjects, nina sample size ya kutosha kufikia a negative conclusion scientifically, au mpaka niwe nime publish kwenye majarida?😀Yani tabia za mtu mmoja zimaanishe kabila zima au kabila zima liwe na tabia za huyo binti mmoja? Elimu yetu ina shida sana wandugu
Njoo nikuoe mm msukuma hutojuta kabisa.Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Siha Kuna wachaga kibao huko nadhani wengi wao ni wamachame tuu bado na mchanganyiko wa wameru na maasaiWala hata sema tu Leo ndo naskia la wa-siha nlikuwa naskiaga wamachame tu
wanakula kuku na mayai na dada zako wote wataliwa na mume wakoNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Kaka hao wadada wa siha wanaishigi wenyewe hawakai wakatulia wao na njia!! Yaani atakapo hamia anatathimin mtaa/mji unafuata!Bwashe wa-siha wana shida gani?
WassiraKama za Mbowe
Wameru na wamasai ndo wengi wachaga hawana nguvu sana ndo maana Siha hapatishi sana kimaendeleo, Siha utakutana na kina KileoSiha Kuna wachaga kibao huko nadhani wengi wao ni wamachame tuu bado na mchanganyiko wa wameru na maasai
Kuoa/kuolewa ni kama homework toka kwa mwalimu.Nenda kaolewe nae majibu utayapata ukiwa nyumbani.Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
EwaaahWameru na wamasai ndo wengi wachaga hawana nguvu sana ndo maana Siha hapatishi sana kimaendeleo, Siha utakutana na kina Kileo
Akili wanayo sema wapo real, hiyo ndo hulka ya mwanadamuKaka hao wadada wa siha wanaishigi wenyewe hawakai wakatulia wao na njia!! Yaani atakapo hamia anatathimin mtaa/mji unafuata!
Hawana subra wao tamaa mbele,wazuri wa muanekano ila akili ya kukaa ndani kutulia hawana 😂😂
Hakuna tabia exclusive sa sehemu fulani pekee. Kuna Kila sampuli ya binadamu, wazuri, wabaya. Tabia ya kuliweka kabila la wachaga kwenye box ni ushamba. Wachaga wote wanafanana. Vijembe ni husda tu.Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Nenda kajenge ukweni kabisa ili kuwapunguzia gharama kumiliki hizo mali zako wakati wamekuzikaNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Wasomi na wanapesaNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
As long as ni mchagga wewe umeula , haijalishi ametoka Marangu, Siha, Machame,Rombo,Kibosho,Old Moshi n.kNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Kupuza haya maswali ya kiwakiKuna faida zipi?