Nimepata mfadhili wa mradi mmoja mkubwa unaoweza kugharimu Tsh billioni 116. Ni mradi gani unaweza kugharimu hizo pesa?

Ni makampuni sio jamaa. Ninamakampuni kibao yanayotoa fund. Lazima tukubali kujifunza kwa mambo ambayo hatuyajui ndipo tunaweza kuendelea. Funding zipo ila vijana hatuna uwezo wa kuziaccess
Kwanini sasa upangiwe kitu xha kufanya?

Kama weee uwezo wako ni mradi wa 5B why atake mkubwa zaidi?

Je waweza meneji?
 
Hawa watakua ni wale matapeli wa Nigeria ambao hutuma email kuwa Wana pesa wanatafuta pa kuwekeza
Acha mawazo ya kitoto boss. Hao wanaijeria mimi nimeishi nao. Kubali kujifunza kutoka kwa wengine ili uelewe wao wanafanyaje.
 
Binafsi nashauri ungeanza na moja kati ya hizoizo projects ulizoziandikia proposal, maana framework yote yw project hizo ipo kichwani mwako hivyo ni rahisi kuzitekeleza kuliko kitu kingine kipya ambacho ni wazo la mtu mwingine!
Pia ni vema kukumbuka kuwa kwa project au biashara ngeni, kadri unavoanza na mtaji mkubwa ndivyo kiwango cha risk ya hasara kinavyoongezeka!
Hivyo ni bora kuanza na project ya mtaji mdogo then ukaikuza na kuiboresha!
WARNING:
Kuwa macho kuna matapeli wa mtandaoni, anaweza kukufanya ukauza nyumba hivihivi! Atakwambia mara contact the lawyor, anakupa na email yake, mara tena atakwambia contact the bank CEO anakupa na email yake kumbe huko kote ni yeye mwenyewe! Ukishajichanganya ukarusha mzigo tu anakublock, wamelizwa wengi sana na wahalifu hao!
 
Ahsante sana kwa mawazo mazuri boss. Nipo makini sana watu wanaotoa fund mm nawajua vizuri wala sio matapeli. Hawana gharama zozote zile.
 
Anaenda pigwa mtu hapa.
 
Ahsante kwa ushauri mzuri. Wewe endelea kushangaa [emoji39][emoji39][emoji39]. Ni vyema ungetulia chini na kuuliza sisi tunafanyaje kufanya hivyo.
Mtu mwenye uwezo wa kuwekeza bil116 hawez kuwa mweupe kias hko.

Mtu mwenye uwezo wa kuwekeza bil116 huwa kwenye emailz zake ana mawazo ya biashara zaid ya 1000 na mengne hajafungua kusoma.. ambayo watu wanamtumia kila kukicha.

Kama wew ni mwanamke bas huyo mtu mwisho wa siku ataomba gemu tu. Anataka muendelee kuwasiliana aombe.

Kama ni mwanaume bas anataka kukufanyia udalali ili yeye ndio akatumie wazo lako hilo mahala fulan
 
Sawa rafiki, ila billioni 116 ni namba tu. Ukiivunja unaweza kuta hata mia hugusi.
 
Mfumo wa gas kwenye magari uhitaji ni mkubwa sana na makampuni binafsi bado wanasua sua kuwekeza
 
Sawa najua unajibu negative lakini tambua maisha sio Rahisi kihivyo pia tambua always maisha ni process
Boss tukitumia uwezo wetu vizuri kutafuta maisha ni rahisi sana. Watu wote wanaofanikiwa nikwasababu wanatumia uwezo wao vizuri. Kama hatufanikiwi maana yake bado hatuna uwezo au hatutumii uwezo wetu vizuri. Ukitazama mchezo wa sarakasi mtu akiwa anaruka unaogopa unasema mimi siwezi. Huwezi kwasababu hujajifunza hivyo huna uwezo. Hivyo inabidi kukubaliana na hali kisha kukaa chini na kukubali kufundishwa.
 
Wafadhili wapo ila sio for nothing pasipo writeup yoyote pesa sio kitu chepesi ndugu na ukiona mahali pesa inapatikana kirahisi hiyo ni dalili Moja wapo ya utapeli
Haya ni moja ya mawazo yanayozuia vijana kuendelea hapa Tanzania. Akon mwenyewe anajenga mji sio pesa zake kapewa ufadhili. Vijana tutafute kama hatuwezi tuombe ushauri maana hatulingani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…