Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji sh ngapiTunatafuta watu ambao watakuwa mawakala wa bidhaa yetu ya barakoa
Tuna kiwanda cha kuzalisha barakoa za upasuaji" surgical masks/ medical masks"
Hivyo kama unataka kuwekeza katika biashara hii na kuwa wakala wetu wasiliana nasi 0672883050
Habari,Mtaji sh ngapi
Carton 10, ni sh ngapiHabari,
Angalau uwe na uwezo wa kuchukua carton 10 kwa mwezi ingawa tunaweza kufanya mazungumzo zaidi kufuatana na mtaji wako na wateja wa eneo lako
Tafadhali wasiliana nasi 0672883050 kwa maelezo zaidi
Carton 10 ni TSH. 2,400,000/= (Millioni mbili na laki nne)Carton 10, ni sh ngapi
Acha unaaaHabarini wakuu,
Nina swali zito naombeni majibu yake.
Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.
Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.
Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.
Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.
Nipo hapa kupata mawazo yenu
Ahsanteni sana
Lithium ipo mkoa gani hapa bongo?
Real estate kwa Bongo ni uongoReal estate for safety of investors, peace of mind, return of money and etc.
Hizo hela wekeza kwenye fishing industry mkuu utanishukuru kabla miaka mitano haijaisha. Demand ya samaki kwa nchi za ukanda wetu ni kubwa mpaka tunaangaza samaki china.Habarini wakuu,
Nina swali zito naombeni majibu yake.
Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.
Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.
Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.
Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.
Nipo hapa kupata mawazo yenu
Ahsanteni sana
Avue Tuna FishHizo hela wekeza kwenye fishing industry mkuu utanishukuru kabla miaka mitano haijaisha. Demand ya samaki kwa nchi za ukanda wetu ni kubwa mpaka tunaangaza samaki china.
Nunua fish factory vessel zako then kata vibali anza kuvuna samaki toka baharini.
Fungua kampuni ya manunuzi na usambazaji wa samaki hao. Yaani unavuna samaki ambao hujawapelekea chakula.
Soko likishakua kubwa unakua unapeleka mpaka central Africa na South Africa.
Before that, fanya research ni samaki kiasi gani wanakua imported kwenye bandari za Dar, Zanzibar, Mombasa etc.
Ukifanikiwa usinisahau.
Asante