Nimepata mgeni yuko rafu sana

Nimepata mgeni yuko rafu sana

1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Mwerekeze tu huyo ,mwambie kuna siku ataenda kwa watu wengine wanaishi hivi mpe somo tu kama anaufahamu ataelewa wengine ni maelekezo tu wanaelewa.
 
Kweli zama zimebadilika, dunia ya leo
Mtu anaweza ghasiwa chumbani au kazini akashindwa kumwambia muhusika ila chap kwa haraka anashika simu anapost kwenye mtandao yaliyotokea na watu wanamfariji basi maisha yake yanaendelea bila kumwambia muhusika
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Hiyo ya No2 huwa inaniudhi sana halafu je kitanda akiamka anatandika? kwenye makochi anapaachaje
 
Wewe jamaa mbona unaonekana li-shamba hivi!!??
Huo ni mtazamo wako, ambao siwezi kukuzuia.

Labda kwa kupitia hayo maneno yangu uliyoniquote, kipi kimepelekea wewe kusema hivyo?
 
Kwa maelezo hayo inaonekana uyo ni mtu wa kijijini,ambae muda wowote atabadilika na kuacha hy tabia.

Sema nilichokigundua ni kua wewe unasumbuliwa na pepo la roho mbaya mkuu
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Fukuzaaaa
 
Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.

Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.

Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.

Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Nimecheka sana, nadhani hii inastahili kuunganishwa pale juu😄
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Level za uelewa wa mambo binadamu tumetofautiana sana, kwa uelewa wake yeye anaamini anachokifanya yupo sahihi, ni wajibu waku kumfundisha kilichosawa kwako na unachohitaji kuliko kuja kureport hapa, haisidiii
 
Kwa maelezo hayo inaonekana uyo ni mtu wa kijijini,ambae muda wowote atabadilika na kuacha hy tabia.

Sema nilichokigundua ni kua wewe unasumbuliwa na pepo la roho mbaya mkuu
Watu wa kijijini ndo wapo hivi kumbe ?
 
Wananawia chombo kimoja wkt wa kula na hata kikombe cha kunywea maji ni kimoja
Unajua kuna vitu vingine ni nature tu ya mtu mkuu.

We kwa jinsi jamaa alivyo elezea
Unazani hapo shida ni ushamba au shida ni ustaarabu wa mtu..?
 
Back
Top Bottom