Mwerekeze tu huyo ,mwambie kuna siku ataenda kwa watu wengine wanaishi hivi mpe somo tu kama anaufahamu ataelewa wengine ni maelekezo tu wanaelewa.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Hiyo ya No2 huwa inaniudhi sana halafu je kitanda akiamka anatandika? kwenye makochi anapaachaje1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
watu waemuvurugwa hapo mtu anawaza anarudi lini kwao huyu kima.....Daah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee.
Huo ni mtazamo wako, ambao siwezi kukuzuia.Wewe jamaa mbona unaonekana li-shamba hivi!!??
Mkuu Hapo Uliposema Maganada Unamaanisha Magrenade?Asije Akakulipuaanaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini
Ni umasikini yaani dawa ya buku tatu ndo kumsema mtuNi kweli, swala la kuminya lina ustaarabu wake.[emoji3]
Daah jamaa anataka tujadili matumizi ya Colgate ya gwala kweli...watu waemuvurugwa hapo mtu anawaza anarudi lini kwao huyu kima.....
Fukuzaaaa1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Nimecheka sana, nadhani hii inastahili kuunganishwa pale juu😄Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.
Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.
Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.
Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Level za uelewa wa mambo binadamu tumetofautiana sana, kwa uelewa wake yeye anaamini anachokifanya yupo sahihi, ni wajibu waku kumfundisha kilichosawa kwako na unachohitaji kuliko kuja kureport hapa, haisidiii1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Ahahahahah ila wee jamaaDaah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Upendo upi..)?Huyo nadhani ametoka kijijini! Mwelimishe taratibu na kwa upendo!
Watu wa kijijini ndo wapo hivi kumbe ?Kwa maelezo hayo inaonekana uyo ni mtu wa kijijini,ambae muda wowote atabadilika na kuacha hy tabia.
Sema nilichokigundua ni kua wewe unasumbuliwa na pepo la roho mbaya mkuu
Wananawia chombo kimoja wkt wa kula na hata kikombe cha kunywea maji ni kimojaWatu wa kijijini ndo wapo hivi kumbe ?
Unajua kuna vitu vingine ni nature tu ya mtu mkuu.Wananawia chombo kimoja wkt wa kula na hata kikombe cha kunywea maji ni kimoja