Nimepata mic ya kununua lakini sina uhakika na ubora

Nimepata mic ya kununua lakini sina uhakika na ubora

Mr_Plan

Senior Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
140
Reaction score
194
Wakuu katika pita pita zangu nimekutana na hii Mic je katika kazi zangu za Online TV itanifaa
1634807260815.jpg


1634807265774.jpg
 
Uwakikana=uhakika na

Then kama unauliza swali usisahau kuweka kiulizo ndugu mwandishi.

Kama ni kwa tutorials hizi zinafaa zaidi
6AEFD1B1-36A3-4FAC-9D69-36B45FFEB3D1.jpeg
 
Nimecheki hio maduka ya karibu sijaona mkuu, ngumu kwangu kuverify bei. Ila nyingi za shure na brand nyengine za kichina ni around 80k mpaka 90k.

Na nimegoogle hio mic results zote zinakuja site za kibongo tu, ukakasi unaanzia hapo.
 
Nimecheki hio maduka ya karibu sijaona mkuu, ngumu kwangu kuverify bei. Ila nyingi za shure na brand nyengine za kichina ni around 80k mpaka 90k.

Na nimegoogle hio mic results zote zinakuja site za kibongo tu, ukakasi unaanzia hapo.
Kupitia uzi huu naomba na mimi msaada wenu wa maelekezo mimi nahitaji mic kwa ajili ya kurekodia matangazo kwa kutumia simu, simu ninayoitumia ni samsung Note9 sijajua pia kama hicho nilichokiwaza kinawezekana naomba mwongozo wenu wataalam wa mambo haya
 
Kupitia uzi huu naomba na mimi msaada wenu wa maelekezo mimi nahitaji mic kwa ajili ya kurekodia matangazo kwa kutumia simu, simu ninayoitumia ni samsung Note9 sijajua pia kama hicho nilichokiwaza kinawezekana naomba mwongozo wenu wataalam wa mambo haya
Lavalier mic za design hii huwa zinakubali kwa simu
saramonic_sr_xlm1_broadcast_quality_lav_omni_microphone_1502814324000_1353400.jpg

Otherwise tafuta proffesional recorder kama za waandishi wa habari zile halafu kuimaliza hamishia kwenye simu umalize editing.
 
Bei nafuu kiasi gani? Hio ya juu unanunua kiasi gani?
Mkuu mic za kichina huko wanauza 35000 huku naona wanaziuza 80000 mpaka 250000, sasa nilijichanganya nikanunua moja maana mimi nina mic ya mpoland akg ambayo inaingia kwenye sound card then to pc, nikasema ngoja niongeze na ya usb nikanunua mic moja ya kichina hapa hapa, mic kuitazama nzur kweli ina stand. Ila quality ya sauti sasa, yani nikicompare na akg ni sawa na mbingu na ardhi. Nmelitupa kwenye box sina hamu nalo.
Ila kwa mtu mwingine anaweza akaona sauti iko sawa kabisa.
 
Mkuu mic za kichina huko wanauza 35000 huku naona wanaziuza 80000 mpaka 250000, sasa nilijichanganya nikanunua moja maana mimi nina mic ya mpoland akg ambayo inaingia kwenye sound card then to pc, nikasema ngoja niongeze na ya usb nikanunua mic moja ya kichina hapa hapa, mic kuitazama nzur kwelu ina stand. Ila quality ya suat sasa, yani nikicompare na akg ni sawa na mbingu na ardhi. Nmelitupa kwenye box sina hamu nalo.
Ila kwa mtu mwingine anaweza akaona sauti iko sawa kabisa.
Huja fanikiwa mpaka sasa hivi kupata mic nzuri?

Ni vitu vyangu muhimu nanunua tu online, mara mia usubirie vikiwa kwenye sale huko nje ili ufidie gharama za usafiri.

Hii issue sasa hivi ipo kote mafriji, tv, radio, na electronic Nyengine, unakuta Bidhaa ya kichina haina maana, inauzwa ghali kuliko OG brand kubwa, na watu wananunua tu kichwa kichwa.

Posta wanatakiwa wachangamke wawaunganishe Watanzania na Aliexpress, amazon na site nyengine kubwa, watapata hela, watapata Kodi na wananchi watanufaika,
 
Huja fanikiwa mpaka sasa hivi kupata mic nzuri?

Ni vitu vyangu muhimu nanunua tu online, mara mia usubirie vikiwa kwenye sale huko nje ili ufidie gharama za usafiri.

Hii issue sasa hivi ipo kote mafriji, tv, radio, na electronic Nyengine, unakuta Bidhaa ya kichina haina maana, inauzwa ghali kuliko OG brand kubwa, na watu wananunua tu kichwa kichwa.

Posta wanatakiwa wachangamke wawaunganishe Watanzania na Aliexpress, amazon na site nyengine kubwa, watapata hela, watapata Kodi na wananchi watanufaika,
Nna akg na sound card ya behrínger inapga kaz fresh.
Ila nahtaj pia mic ya usb for portability ntaagiza kama yako tu nje.
 
Mkuu mic za kichina huko wanauza 35000 huku naona wanaziuza 80000 mpaka 250000, sasa nilijichanganya nikanunua moja maana mimi nina mic ya mpoland akg ambayo inaingia kwenye sound card then to pc, nikasema ngoja niongeze na ya usb nikanunua mic moja ya kichina hapa hapa, mic kuitazama nzur kweli ina stand. Ila quality ya sauti sasa, yani nikicompare na akg ni sawa na mbingu na ardhi. Nmelitupa kwenye box sina hamu nalo.
Ila kwa mtu mwingine anaweza akaona sauti iko sawa kabisa.
niuzie hiyo uliyotupa kwenye box
 
Mkuu nshaliuza tayari. Ila ukitaka kuna duka flani liko karibu na shoppers kituo cha mwalimu wanauza hizo mic 80000 na 110000
poa chief ila niko huku namtumbo, nitaangalia kwanza huku. ni kwaajili ya voiceover za youtube videos
 
poa chief ila niko huku namtumbo, nitaangalia kwanza huku. ni kwaajili ya voiceover za youtube videos
Hahaha unatumia nini kurecord video?
Hizo mic ni kama hiyo. Quality yake sijapenda kaisa
Screenshot_20220327_204237.jpg
 
hiyo ni kutoka china au hapa hapa bongo?
naingizia tu sauti,yaani nachanganya picha na audio
Ndizo sawa na hizo nazokwambia wanauza hapo dukan hata yangu ilikuwa kama hiyo.
Ukitaka shoot unaweza tumia simu ukaconnect kweye pc,pc ikaitumia kama.webcam
 
Back
Top Bottom