Nyavoregwa
Senior Member
- Sep 17, 2021
- 118
- 325
Nimekuelewa mkuuDuh kumbe wataka kuitumia kwenye simu, basi hoi haiwezi kukufaa. Kuna mic flan hivi unaiplug kwenye simu ni kwa ajili ya kurekod saut hasa kwa wanahabari.
Mkuu kwanini ukiamua kufanya jambo usilifanye kwa ubora, ukanunua vifaa kuliko kufanua partially partially?