Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
hapo wanauza bei gani?Ndizo sawa na hizo nazokwambia wanauza hapo dukan hata yangu ilikuwa kama hiyo.
Ukitaka shoot unaweza tumia simu ukaconnect kweye pc,pc ikaitumia kama.webcam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo wanauza bei gani?Ndizo sawa na hizo nazokwambia wanauza hapo dukan hata yangu ilikuwa kama hiyo.
Ukitaka shoot unaweza tumia simu ukaconnect kweye pc,pc ikaitumia kama.webcam
Kati ya 80000 mpaka 11000 yani hizi mic zote ni sawa tu tofaut yake label. Maana nlimchukulia mtu nyngne yenyewe ina stand kama ya zile mic za studio lakn wuality mbaya tu kama hiyo.hapo wanauza bei gani?
Kati ya 80000 mpaka 11000 yani hizi mic zote ni sawa tu tofaut yake label. Maana nlimchukulia mtu nyngne yenyewe ina stand kama ya zile mic za studio lakn wuality mbaya tu kama hiyo.
Kwa mtu wa kawaida ataona ni sawa ila mimi nikirun hyo sauti kwenye audacity naona kuwa quality yake mbaya hard to manipulate waves zake hazijashiba
Kuna majamaa insta wanauza tena naona bei yake ya kawaida sena page sikumbuk wanajiitaje. Fanaya kumuuliza chief maana hakuna chimbo asilojuangoja nitafute kwanza vile vidogo vya kuweka kwenye kola
nimeziona zile za shule wanauza 35,000.Kuna majamaa insta wanauza tena naona bei yake ya kawaida sena page sikumbuk wanajiitaje. Fanaya kumuuliza chief maana hakuna chimbo asilojua
headphone zenye mic nyingi ni kwa ajili ya vitu vya kawaida tu, kama livestream, gaming etc. sio mic zenye studio quality kabisa.nimeziona zile za shule wanauza 35,000.
halafu kuna zile headphones zinakuwa na microphone kama za marubani au customer care! unazijua au umewahi kutumia?
Chief-Mkwawa
DUH,MIMI NATAKA KUZIINGIZIA SAUTI KAMA VOICE OVER HIVIheadphone zenye mic nyingi ni kwa ajili ya vitu vya kawaida tu, kama livestream, gaming etc. sio mic zenye studio quality kabisa.
Deo Corleone hizo wanaita mic za msikitini, za kuweka kwenye kola, ukifika tu pale uhuru na msimbazi zimejaa kibao, hizi nyingi hutumika na Amplifier, yenyewe kama yenyewe quality kupata nzuri ngumu. jina la kitaalamu ni lavalier,Kuna majamaa insta wanauza tena naona bei yake ya kawaida sena page sikumbuk wanajiitaje. Fanaya kumuuliza chief maana hakuna chimbo asilojua
kama upo serious agizia nje mkuu, hata kenya tu hapo utapata options nyingi sana, huku kwetu mic za 10,000 watakuuzia 50k ama laki kabisa.DUH,MIMI NATAKA KUZIINGIZIA SAUTI KAMA VOICE OVER HIVI
Aisee nimetafuta huku nikakosa,ndo nikakuta hizo jamaa ndo akanambia zinzafaa nikaona kabla sijanunua nije niombe ushauriDeo Corleone hizo wanaita mic za msikitini, za kuweka kwenye kola, ukifika tu pale uhuru na msimbazi zimejaa kibao, hizi nyingi hutumika na Amplifier, yenyewe kama yenyewe quality kupata nzuri ngumu. jina la kitaalamu ni lavalier,
search hii keyword googleAisee nimetafuta huku nikakosa,ndo nikakuta hizo jamaa ndo akanambia zinzafaa nikaona kabla sijanunua nije niombe ushauri
kama upo serious agizia nje mkuu, hata kenya tu hapo utapata options nyingi sana, huku kwetu mic za 10,000 watakuuzia 50k ama laki kabisa.
poa ngoja nimcheki maana sipo DArsearch hii keyword google
lavalier tsh
zitakuja kibao, mfano hii
ukimshusha shusha ni mic nzuri kwa hio bei.
Mkuu hiyo inafaa kwa kurekodia matangazo??search hii keyword google
lavalier tsh
zitakuja kibao, mfano hii
ukimshusha shusha ni mic nzuri kwa hio bei.
Mkuu kwa nini usiwekeze kwenye condensor mic ili utoe kitu quality?Mkuu hiyo inafaa kwa kurekodia matangazo??
Nifafanulie kidogo mkuu sizijui hizi mambo mkuuMkuu kwa nini usiwekeze kwenye condensor mic ili utoe kitu quality?
Kwani mkuu unataka kutengeneza matangazo ya namna ganiNifafanulie kidogo mkuu sizijui hizi mambo mkuu
Duh! Haya mambo mashikoro kwangu sijui nijieleze vp yaani kama saiv natumia simu kujirekodi nasoma tangazo kisha nalihamishia kwenye flash disk kisha inachomekwa kwenye amplifier kwa ajili ya kupita mtaani sasa quality ya sauti sio nzuriKwani mkuu unataka kutengeneza matangazo ya namna gani
Haaa kanunue tu hizi mic za kawaida alibaba zinauzwa 35000 ila hapa tz utazipata kwa 70000 mpaka110000 wenginr wanakugonga mpaka 250000 wanakuongopea eti ni studio mic.Duh! Haya mambo mashikoro kwangu sijui nijieleze vp yaani kama saiv natumia simu kujirekodi nasoma tangazo kisha nalihamishia kwenye flash disk kisha inachomekwa kwenye amplifier kwa ajili ya kupita mtaani sasa quality ya sauti sio nzuri
Powa mkuu ninaweza kuitumia kwenye simu samsung note9 maana sina laptopHaaa kanunue tu hizi mic za kawaida alibaba zinauzwa 35000 ila hapa tz utazipata kwa 70000 mpaka110000 wenginr wanakugonga mpaka 250000 wanakuongopea eti ni studio mic.
View attachment 2169052
Na kuna yale pia yanajuja na sound card yote yako sawa tu na hili
Duh kumbe wataka kuitumia kwenye simu, basi hoi haiwezi kukufaa. Kuna mic flan hivi unaiplug kwenye simu ni kwa ajili ya kurekod saut hasa kwa wanahabari.Powa mkuu ninaweza kuitumia kwenye simu samsung note9 maana sina laptop