Nyavoregwa
Senior Member
- Sep 17, 2021
- 118
- 325
Nimekuelewa mkuuDuh kumbe wataka kuitumia kwenye simu, basi hoi haiwezi kukufaa. Kuna mic flan hivi unaiplug kwenye simu ni kwa ajili ya kurekod saut hasa kwa wanahabari.
Mkuu kwanini ukiamua kufanya jambo usilifanye kwa ubora, ukanunua vifaa kuliko kufanua partially partially?
Jaribu hii mkuu hata hapa dar zipo zinauzwa sijui 15000Nimekuelewa mkuu
Sina uhakika mkuu Exactly kama utapata tripod kama hio ila tripod kkoo nenda msimbazi jengo la simba mtaa mfupi wa nyuma yake, kuna maduka mengi sana ya Speaker na vitu kama hivi.Chief-Mkwawa
Eti stand kama ya hii mic naweza pata wapi kariakoo na kwa kiasi gani.
View attachment 2436043
Asante sana mkuu kwa maelekezoSina uhakika mkuu Exactly kama utapata tripod kama hio ila tripod kkoo nenda msimbazi jengo la simba mtaa mfupi wa nyuma yake, kuna maduka mengi sana ya Speaker na vitu kama hivi.
Pia msimbazi kuna maduka ya wahindi ya Mic zipi tripod.