Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Mkuu naona ni typing Error hiyo na nadhani alimaanisha Biashara. Au unasemaje mkuu Nikuletee Anti-biotics nikuondoe kabisa? maana Plasmodium wepesi sana Kufa ila wabishi kinoma.
unamaanisha ana MALARIA iliyopanda kwa ubongo?
 
Kuna biashara fulani hv haiko open sana but ndani ya siku 35..hiyo pesa itakuwa X2 yan 100m nitafute kwa muda wako mkuu

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Mzee unapatikana mkoa gan.tukutane pm tafadhali

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
''You are already a Millionaire" Angalizo ukitaka kufanya biashara yoyote ile kitu cha kwanza lazima ujue vizuri hiyo biashara unayotaka kuifanya cha pili lazima uwe na andiko la Biashara "Business plan'' cha tatu ni jinsi utakavyo enenda kwenye biashara yako ''PECS (Personal entrepreneur characteristics) hizi ni tabia za mfanya biashara maarufu aliye fanikiwa ziko km 25 zinaweza kuongezeka kutokana na mabadiloko ya hii dunia
 
Mkuu inategemea upo katika mazingira yapi. Kama unataka kuwekeza Tanzania , utahitaji kupata muda uweze kuangalia biashara tofauti tofauti.

Wewe ingia kama muekezaji katika biashara zilizopo.. Maeneo yatakuwa ni tofauti tofauti .

Mfano, unaweza kuwekeza katika biashara ya logistic- lakini kama local courier --- ukutane wakuonyeshe business plan au ulewe toka kwao kama wanataka kupanua operation zao. Angalia zaidi wanaohitaji financing, halafu uingie nao mkataba fulani kuhusu malipo, endapo mnakubaliana unaweza kununua Suzuki carry za kusafirishia mzigo zaidi, au pikipiki ambazo zinaweza kutumika katika kusambaza mizigo ya wateja walio nao.

Eneo jingine ni biashara ya bima ...... hasa kwa watu ambao wana shida ya mtaji lakini wanahitaji kupanuka.

Maeneo hayo nimeyaongelea kutokana na uwezo wa kusimamia biashara ukiwa mbali na unaweza pata msimamizi wa wabia wako. Nafikiri unaweza kuchunguza maeneo hayo, kwa vile naamini hutaki kurudi Bongo kwa sasa .

Ukisharidhika unaweza kuweka vigezo vyako, halafu utawatafuta watu hao na mkafanya mazungumzo.

Ni hayo tu kwa sasa.
 
hizo pesa kwa haraka peleka police. uwaambie wakurudishe kwa riba.
 
mzee ofisi yenu iko wapi niwaletee zangu
 
Mil 50 umepataje? Biashara kwa maeneo gani? Sector gani? Wewe intrest yako ni nini? Hobby yako je? Wewe unahisi biashara ipi itakufanha uwe milionaire?

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Tayari wewe ni milionea...koz unamiliki zaidi ya milioni.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…