Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Mkuu hiyo mbegu mpya ya kiazi ndo ipoje??
 
Kwa sasa sio kipingi kizuri kuwekeza Tanzania coz uchumi umeyumba. Hiyo biashara yako inaweza isikulipe kwa sasa... Bora tu hiyo hela uendelee kuitunza tunza mpaka hapo 'utakapokuwa mkubwa'...
 
Reactions: MC7
Unataka PM yako ijae mkuu? katika huo umri kama na kama kweli unaishi ufaransa exposure yako isingekufanya ulete hili bandiko kama kweli ume BAHATIKA kupata huo mpunga?...
We ndio umeongea pumba kabisa umri na exposure inasaidia nini kuwa wazo la kufanya na pesa mtu alizopata...? Hapa kusema kweli sijakuelewa we unadhani kuwa Ufaransa na hiyo "exposure" ndio kujua kila kitu..? Kama huna cha kunyangia ukaa kimya kuacha wengine wamsaidie dogo unaona haitoshi..? Hebu watu wenye akili zao wampe mawazo dogo.
 
Mkuu ushauri wangu fungua office ndogo ya kukopa yani uwe unakopesha watu pesa nina mfano wa jirani yangu mmoja amefungua office kama hiyo yeye anakupa laki moja basi unarejesha laki moja na elfu 15 kwa mwezi mmoja na ukitaka kwa miezi miwili basi utarejesha laki 1 na 30. Yani mkopo wake hauvuki miezi miezi mi 3 kila kwenye laki moja basi kuna riba ya elfu 15 na watu wanakwenda wengi sana kwa sababu ni mkopo wa haraka japo unariba kubwa ukizingatia na kipindi hiki kigumu watu hali ya uchumi sio nzuri hivyo wanahaha sana kutafuta hela nadhani hii itakuwa ni biashara nzuri sana kwako na itakufanya uwe milionea mapema sana. Asante mkuu
 

The good thing umesema haujanielewa, una haki ya kukiita pumba au chochote nilichokipost.
 
Njoo chemba utashangaa. Pesa ninazo.kazi nzuri kubwa na cheo kikubwa na kampuni kubwa vinafanya kazi.
Hofu ya Mungu ndo mpango mzima.
Mkuu kwa majibu haya umenifanya nipate uchu wa kujiajiri
 
That was my advice. Take it or leave it.
Matajiri wengi wakubwa duniani wameanza na mtaji mdogo sana, Mdogo ambao labda hata Million haufiki. Wewe unasema 50 M ni ndogo??

Wewe utakuwa mbabaishaji tu..
 
Reactions: MC7
kama mpaka unapata hizo 50M hukuwa na wazo la kuinvest, wewe sio mfanyabiashara tena!
achana na wazo la kuziinvest tafuta kibanda tu ununue au ujenge, ili akili yako yoote iendelee kutafuta 100M kwa kutumia njia uliyotumia kuzipata hizo 50M.
 
Kivipi mkuu kwenye hili suala.?
Wanaokushauri kununua gari sijui coaster au daladala wanataka kukuongezea pressure bure maana hujui uko barabarani kitatokea nini na hawa madereva wetu. Maana dereva hasiposababisha wengine wanaweza kumsababishia ajari na ukaishia kuwa na scrapers. Kilimo ndgu yangu yataka moyo maana unategemea Baraka za mwenyezi Mungu ili mvua inyeshe na wapi utapata mashamba. nayo ni pressure nyingine na pia hata ukilima je soko unalo? ili kuuza madalali wanajua kucheza na mkulima na kujua jinsi ya kumlalia na kuishia umepata hasara na mwaka huu tumeshuudia watu wamelima nyanya zimeishia kuozea shambani. Nyumba nayo biashara yake ni kizungumkuti maana utegemee hela za mpangaji kila mwezi kurudisha mtaji wako ni kizungu mkuti. Labda ujenge Guest nzuri kidogo italipa lakini gharama zake si 50m.
Kidogo labda aliyesema ufugaji wa samaki na kuku japo sina experience nao.
Biashara mpaka uwe na uhakika wa shindano la soko
 
Labda udoble huo mtaji. Biashara nyingi hapa Tz ni zaidi ya milioni hamsini na zinaonekana kawaida tu.
 
Kapande Miti ya Mbao baada ya hiyo miaka 10 utaanza kuvuna
 
Ukiwa na mil50 wewe sio milionea...Milionea maana yake unatakiwa uwe na pesa kuanzia bilion...
Nitakupa mfano mdogo..Mwenye milion 50 mana yake hana milion 100 ...ukiwa milionea unatakiwa uwe na kiasi cha pesa chochote kinacho tamkwa milion kadhaa..


Mnasikitisha sana. Billion ni Billionea.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…