Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya siku ngp🤣🤣Odds 1600+ milioni 90 hii hapa🐼View attachment 3180771
Siku moja tu, umemaliza mchezoNdani ya siku ngp🤣🤣
Kwa nini ulikopa??Sorry, za muda hu waungwana, nimepata mkopo mahali flani wa pesa taslim laki tatu, sijui na sielewei naifanyia nini,!! Maan marejesho kila baada ya wiki mbili kwa miezi sita, Naombeni ushauri 🙏
"Kesho Huyu Kaja"Mkuu anzisha biashara ya kukaanga mapande ya broiler, mwenzako hapa amening'ang'ania anataka elfu 50 tu anapata faida elfu 8 kila sikuView attachment 3180772
Kama Vp nikuelekeza sehemu unauza gongo na nyama za makwasukwasu pia kuna kina mama watakusaidia mambo mengine kama ya wanzuki nakadhalika.....pesa itarudi ndani ya muda mfupi pia kuna wana utapiga nao dili la bange....Sorry, za muda hu waungwana, nimepata mkopo mahali flani wa pesa taslim laki tatu, sijui na sielewei naifanyia nini,!! Maan marejesho kila baada ya wiki mbili kwa miezi sita, Naombeni ushauri 🙏
Bwege mtozeni weweSorry, za muda hu waungwana, nimepata mkopo mahali flani wa pesa taslim laki tatu, sijui na sielewei naifanyia nini,!! Maan marejesho kila baada ya wiki mbili kwa miezi sita, Naombeni ushauri 🙏
Makwasu kwasu 😂😂😂Kama Vp nikuelekeza sehemu unauza gongo na nyama za makwasukwasu pia kuna kina mama watakusaidia mambo mengine kama ya wanzuki nakadhalika.....pesa itarudi ndani ya muda mfupi pia kuna wana utapiga nao dili la bange....
kumaanisha nini mkuu?"Kesho Huyu Kaja"