Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Kinachovunjika ni mfupa sasa uumwe ni msuli( muscles na mishipa ya damu) unaanzaje kuvunjika? Hiyo ni strain bila shaka
Inavunjikaga mkuu, ikiwa imesimama, kama Muscles zingine nazo zina uwezo wa kusimama sawa ila uume ukisimama wima ujue kuna posbilities kubwa ya kuvunjika hizo muscles zilizosimama wima
 
Itakuwa tissue zimeshtuka tu. Hakuna mfupa....ni muscles na mishipa ya dam mkuu utapona. Kwa sasa acha kuusimamisha....usitamanitamani....fanya hixi usiufsnyie maziez yyt.


Halafu ushauri acha kukita sana kwa nguvu. Pia epuka sex na mwanamke aliyekamia na mwenye upwiri wa muda mrefu..hawa wenye nyama zilizokomaa waepuke. Kuna wale wenye nyama na ngoz laini ukidu wanadai unawachubua, sasa ukikutana na mwenye sugu...haya ndio matokeo
 
Itakuw shemej alifanya kama anaidondokea ikatokea ajali kweny kulenga,
Pole sana hii style wanaweza wachini usiige tena.
Habari wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwezi ku-Erect vizuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kweli naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarudi kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
 
Chukua dawa ya kuchua...uchue, au olive oil uchue huku unainyoosha nyoosha....imeteguka tu hiyo
 
Pole sana mkuu🏃
IMG-20240625-WA0001.jpg
 
Habari wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwezi ku-Erect vizuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kweli naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarudi kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Yan mbususu ivunje mb*o? Hii mb*o ambayo ipo flexible au nyingine? Hii haijawahi mkuu, basi na hiyo mbususu ni balaa
 
Habari wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwezi ku-Erect vizuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kweli naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarudi kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Aise.....
 
Hii nimetumiwa na rafiki yangu na imezid kuniogopesha View attachment 3034154

Natural Knowledge / Sex :
( Heshoutang Natural Health System / Xianhe )

Sex / Tendo la ndoa , lipo chini ya udhibiti wa mfumo wa Figo & Kibofu

Na ili mwanaume awe na uwezo wa tendo la ndoa ni lazima Mfumo wa Figo uwe na nishati uwiano sahihi ( Energy in balance level )

Na ili kutambua kuwa mwanaume yupo sawa basi angalau performance iwe dk 5>

Kama performance ipo chini yaani dk 1 , basi lazima kushughulikia nishati kwenye Mfumo wa Figo .

Sasa kwa Case ya huyu ndugu , kwamba uume ulisimama muda mrefu , meaning Kidneys & Bladder system Fire energy too high hivyo kushindwa ku interact na Water energy kwenye Mfumo ,na kufanya zoezi kwenda muda mrefu na kudhoofisha mishipa ingawa uume ulisimama , possibly blockage huweza tokea ( Sex organ damage)

Hii inaweza kuleta hitilafu ya energy flow & blood circulation into Sex organ

Treatment plan :
1. Improve circulation
2. Smooth energy flow

Tutakupatia dawa zetu asili kwa ajili ya treatment plan hiyo , na Sex organ yako itakuwa vizuri .

NB : Wanaume tuepuke kutumia visaidizi kwenye tendo la ndoa ,
Fanya mazoezi na kula vizuri , zaidi sana jiamini !

Cont : 0653048888 , 0757577995
 
Natural Knowledge / Sex :
( Heshoutang Natural Health System / Xianhe )

Sex / Tendo la ndoa , lipo chini ya udhibiti wa mfumo wa Figo & Kibofu

Na ili mwanaume awe na uwezo wa tendo la ndoa ni lazima Mfumo wa Figo uwe na nishati uwiano sahihi ( Energy in balance level )

Na ili kutambua kuwa mwanaume yupo sawa basi angalau performance iwe dk 5>

Kama performance ipo chini yaani dk 1 , basi lazima kushughulikia nishati kwenye Mfumo wa Figo .

Sasa kwa Case ya huyu ndugu , kwamba uume ulisimama muda mrefu , meaning Kidneys & Bladder system Fire energy too high hivyo kushindwa ku interact na Water energy kwenye Mfumo ,na kufanya zoezi kwenda muda mrefu na kudhoofisha mishipa ingawa uume ulisimama , possibly blockage huweza tokea ( Sex organ damage)

Hii inaweza kuleta hitilafu ya energy flow & blood circulation into Sex organ

Treatment plan :
1. Improve circulation
2. Smooth energy flow

Tutakupatia dawa zetu asili kwa ajili ya treatment plan hiyo , na Sex organ yako itakuwa vizuri .

NB : Wanaume tuepuke kutumia visaidizi kwenye tendo la ndoa ,
Fanya mazoezi na kula vizuri , zaidi sana jiamini !

Cont : 0653048888 , 0757577995
Mzee umeshapata fulsa hapa kuweka tangazo la biashara
 
Back
Top Bottom