Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Palepale stim ilikata mzee... had mda huu nimelala
Mkuu nenda agha kan kuna proceess unafanyiwa inaitwa fresh lymphatic drainage massage...

Wanakuingiza kitu kama spock ya baskeli ila ni ya shaba alafu wana kupaka mafuta flani hivi ya bardiiii

Baada ya hapo wanaanza kukufanyia massage ambayo kama una haja kubwa lazima ikutoke...

Baada ya hapo unakaa na hiko kichuma siku tatu kisha watakitoa....

Mkuu ni hatarrrr mi nilipelekwa na mama angu mdogo...
 
Utakuwa ulikuwa unatumia Ile style ya reverse cowgirl.....poleee
Duh....
😁😁😁😁 mahaba sio fujo mkuu , mtoa mada itakua anataka pesa yake irudi ndio maana kavunjika

Habar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada
 
Habar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Ooh wamekuroga wewe sasa............hawajaomba hata jina lako na la mama ila washakufanya bendera nusu mlingoti
 
Mkuu nenda agha kan kuna proceess unafanyiwa inaitwa fresh lymphatic drainage massage...

Wanakuingiza kitu kama spock ya baskeli ila ni ya shaba alafu wana kupaka mafuta flani hivi ya bardiiii

Baada ya hapo wanaanza kukufanyia massage ambayo kama una haja kubwa lazima ikutoke...

Baada ya hapo unakaa na hiko kichuma siku tatu kisha watakitoa....

Mkuu ni hatarrrr mi nilipelekwa na mama angu mdogo...
Wanaingiza wapi mkuu? Na mama yako mdogo alivyokupeleka ulimwambia nini kimekusibu na vip kuna maumivu ??
 
Mkuu nenda agha kan kuna proceess unafanyiwa inaitwa fresh lymphatic drainage massage...

Wanakuingiza kitu kama spock ya baskeli ila ni ya shaba alafu wana kupaka mafuta flani hivi ya bardiiii

Baada ya hapo wanaanza kukufanyia massage ambayo kama una haja kubwa lazima ikutoke...

Baada ya hapo unakaa na hiko kichuma siku tatu kisha watakitoa....

Mkuu ni hatarrrr mi nilipelekwa na mama angu mdogo...
Oooh, nikajua hio shaba wanaingiza huko kwa kukojolea, na nilianza kufurahia hio habari ya masaji hadi nilipofika kwenye kutoa haja kubwa nikapotezea hio masaji kumbe unafukuliwa na shaba,,,,,,,kwahio jamaa anatoka kwenye kuingiza hadi kuingizwa shaba,,,,,hizi masaji hadi unatoa haja kubwa zitupitie mbali,,...sema amen
 
Na wewe andika kitabu kama huyu mwenzako
dk.jpg
 
Habari wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwezi ku-Erect vizuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kweli naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarudi kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
tujitahidi sana kabla ya kuvuta bangi tuwe tunauliza zimetokea nchi gani kwani siyo kila bangi ya nchi fulani inafaa kutumika
 
Oooh, nikajua hio shaba wanaingiza huko kwa kukojolea, na nilianza kufurahia hio habari ya masaji hadi nilipofika kwenye kutoa haja kubwa nikapotezea hio masaji kumbe unafukuliwa na shaba,,,,,,,kwahio jamaa anatoka kwenye kuingiza hadi kuingizwa shaba,,,,,hizi masaji hadi unatoa haja kubwa zitupitie mbali,,...sema amen
Mkuu acha tuu kile kidude ni chembamba mda wanaingiza wala hakina shida ila mda wa kufanya massage ndo sho inaanzia hapo maana kinakuwa kina unguza
 
Mkuu kwa maelezo tu japo wengi wamekufuru ila nimepata hope kuwa pengine haijavunjika labda imeshtuka tu, maana hata saiz haiumi kiivo ila kusimama ndio naona kama haisimami kwa afya ile ya kunyooka inanyanyuka nyanyuka kwa vipindi na kuanguka mthili ya ndama aliezaliwa akijaribu kujikakamua kunyanyuka ngoja niroad kwanza nione kufikia kesho itakuwaje
hauko serious,
 
Back
Top Bottom