Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Una mambo ya kipumbavu sana. Vipi kama faraja yake huwa inatoka humu JF? Pengine ni introvert ambaye mitandao ndo huwa inamfanya akae sawa? Mijitu mingine na comments zenu bhana.Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Like kungekuwa na utaratibu ambao after confirmation ya tukio kama hili kungekuwa na namna sisi wanaJF kushiriki kwa pamoja kwa namna moja ama nyingine including kushikamana na kusaidia kwa kumshika mkono mfikwa.@Moderator kindly assist in emergency issues
Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Tumbo kutapika na kuharisha
Pita hivi ebuUna mambo ya kipumbavu sana. Vipi kama faraja yake huwa inatoka humu JF? Pengine ni introvert ambaye mitandao ndo huwa inamfanya akae sawa? Mijitu mingine na comments zenu bhana.
Pole sana mkuu.Mungu awatie nguvu familia kwa ujumlaHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Una akili sawa sawa kweli?? Kwani Ukifiwa ndo hutakiwi kutoa taarifa..??Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Pole Sana ndugu yanguHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana mkuu,Habari ya asubui
Jana tumefanikiwa kumstili Binti yetu salama Kwenye nyumba yake ya milele
Sasaiv tunaendelea na ratiba za kawaida za msiba.
Kwa mlio nitia moyo Mw/Mungu awabariki ππ½
Na wale mlio nikejeli Kwenye kipindi iki kizito na kigumu na wewe nakuombea upitie katika Hali iyo Ili uone n wakat gan ninao pitia Kwa sasaππ½
Pole sanaHabari ya asubui
Jana tumefanikiwa kumstili Binti yetu salama Kwenye nyumba yake ya milele
Sasaiv tunaendelea na ratiba za kawaida za msiba.
Kwa mlio nitia moyo Mw/Mungu awabariki ππ½
Na wale mlio nikejeli Kwenye kipindi iki kizito na kigumu na wewe nakuombea upitie katika Hali iyo Ili uone n wakat gan ninao pitia Kwa sasaππ½