binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni taarifa, Inayowahusu itawafikia na kumuelewa.Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Kuna Watu wanafiwa na dk hiyo hiyo wanapiga ukunga. Huyu kafiwa na kuwakumbuka watu wake humu JF. Turespect hii taarifa yake kwanza mengine yatafata.Magical power pole sana kama hizi habari ni za kweli ila kama ni za kuzusha JF inaweza kugeuka shubiri kwako
Binafsi nimepata ukakasi na hii taarifa. Msiba umetokea saa tisa usiku na saa kumi usiku ukaingia JF kupost!
Naamini kwanza umepata taharuki kubwa na kuna mengi ya kufanya kabla ya kutangazia watu msiba utakuwa wapi
Je marehemu aliugua? Kwa muda gani?
Je kafia hospital au nyumbani?
By the way tupe taarifa sahihi tutakushika mkono katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ikithibitika ni kweli
Nimeipenda hiiKila mmoja ana namna yake ya kuomboleza, huyu hii ndiyo namna yake.
Huyu ni ndugu yetu hapa jukwaani, ametupa taarifa na eneo uliko msiba akitegemea faraja kutoka kwetu na sio haya uliyoandika.
Kama huna neno la faraja msibani ni vyema usizungumze kabisa.
Ke au Me?Tunatofautiana sana aisee..binafsi siwezi
Pole mkuu apumzike kwa amani mtoto wetu!, mjukuu wetuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Haina tofauti na kuchukua simu yako kuwapa taarifa ndugu na jamaa, hivyo sijaona huo ugumu labda kwa vile kichwa chako maji ndio maana umecoment upumbavuUmepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Mpumbavu huyo, anataka kusema mwenye msiba hawezi kutoa taarifa???Kwani ukifiwa na mtoto huwezi kuandika? Msiba siyo kitu kipya wala cha kufanya ushindwe kufanya kazi za kila siku.
Pole mkuu. Rambirambi tunatoeje hapa tukitaka kutoa mkuu?Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Polee sana mkuu maelekezo vizuri nihudhurie kwa kijana wetu! Polee sana rafiki mungu akutie nguvuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Mbona nimetoa location Kila kituPolee sana mkuu maelekezo vizuri nihudhurie kwa kijana wetu! Polee sana rafiki mungu akutie nguvu
Pole sana Mkuu.Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana mkuuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA