Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Magical power pole sana kama hizi habari ni za kweli ila kama ni za kuzusha JF inaweza kugeuka shubiri kwako
Binafsi nimepata ukakasi na hii taarifa. Msiba umetokea saa tisa usiku na saa kumi usiku ukaingia JF kupost!
Naamini kwanza umepata taharuki kubwa na kuna mengi ya kufanya kabla ya kutangazia watu msiba utakuwa wapi
Je marehemu aliugua? Kwa muda gani?
Je kafia hospital au nyumbani?
By the way tupe taarifa sahihi tutakushika mkono katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ikithibitika ni kweli
Marehem alikua analalamika tumbo
Umri wake n miaka 2 na miez 8
Alifika hospital kubwa ya mkoa WA morogoro mjini.
Alifia mapokez na alipo fika hakuchukua ata do 10 akafarik pale mapokez ata wodin hakwenda.
Na msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwann mifanye masihara Kwenye mambo ya MSiba mkuu,kumbuka uyu n mwanangu amefariki Alie kalibu au maeneo ya morogoro mjini aje kuwakilisha,na nimepata nguvu ya kuandika apa mda huo ulio sema sababu umu nyinyi nawachukulia kama ndugu na jamaa
 
Kwahiyo post zote zile za chai lengo lilikuwa ufike huku? Watu sio wajinga!
 
Marehem alikua analalamika tumbo
Umri wake n miaka 2 na miez 8
Alifika hospital kubwa ya mkoa WA morogoro mjini.
Alifia mapokez na alipo fika hakuchukua ata do 10 akafarik pale mapokez ata wodin hakwenda.
Na msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwann mifanye masihara Kwenye mambo ya MSiba mkuu,kumbuka uyu n mwanangu amefariki Alie kalibu au maeneo ya morogoro mjini aje kuwakilisha,na nimepata nguvu ya kuandika apa mda huo ulio sema sababu umu nyinyi nawachukulia kama ndugu na jamaa
Asante sana kwa ufafanuzi.. Nitarejea
 
Pole ndugu yetu,kumbuka sie wote tu mazao ya Mwenyezi atatuvuna muda wowote ule anaona unafaa kwake.
Kila kitu kinatokea kulingana na asili ilivyo yaani hakuna kinachotokea bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom