Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Shukraan snPoleni wote mlioondokewa na wapendwa wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukraan snPoleni wote mlioondokewa na wapendwa wenu.
Marehem alikua analalamika tumboMagical power pole sana kama hizi habari ni za kweli ila kama ni za kuzusha JF inaweza kugeuka shubiri kwako
Binafsi nimepata ukakasi na hii taarifa. Msiba umetokea saa tisa usiku na saa kumi usiku ukaingia JF kupost!
Naamini kwanza umepata taharuki kubwa na kuna mengi ya kufanya kabla ya kutangazia watu msiba utakuwa wapi
Je marehemu aliugua? Kwa muda gani?
Je kafia hospital au nyumbani?
By the way tupe taarifa sahihi tutakushika mkono katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ikithibitika ni kweli
dada makamasi mbishi kinomaNa swali hilo umemuuliza hapa kwenye jukwaa huru na sio PM, ndio maana nimekujibu mimi pia.
Pole sana.Kawaida mbona.
Mimi siku niliofiliwa na mama niliweka status kuwapa watu taarifa. Walau taarifa inawafikia watu wengi
Asipofanya hivyo nani atakufanyia? Inabidi kujikaza
Tumbo kutapika na kuharishaPole bro, akiumwa nn?
NaMBa ya sim niWEKA NAMBA YA SIMU WATUME RAMBIRAMBI
Ili ndio alilo liachaupo moro nenda msibani
Jàman Mimi ni MENi mdada au mmama
Poleee sanaaa MkuuuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Asante sana kwa ufafanuzi.. NitarejeaMarehem alikua analalamika tumbo
Umri wake n miaka 2 na miez 8
Alifika hospital kubwa ya mkoa WA morogoro mjini.
Alifia mapokez na alipo fika hakuchukua ata do 10 akafarik pale mapokez ata wodin hakwenda.
Na msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwann mifanye masihara Kwenye mambo ya MSiba mkuu,kumbuka uyu n mwanangu amefariki Alie kalibu au maeneo ya morogoro mjini aje kuwakilisha,na nimepata nguvu ya kuandika apa mda huo ulio sema sababu umu nyinyi nawachukulia kama ndugu na jamaa
Nipo na msiba alafu mda wote niwe jf upo serouse kweliMfiwa kakimbia
Tupo napoja mkuuAsante sana kwa ufafanuzi
Kwahyo wewe ukifiwa huwezi hata kujulisha ndugu, jamaa na marafiki?Tunatofautiana sana aisee..binafsi siwezi