Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Pole sana mkuuHabar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuuHabar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Nimewaza piaMagical power pole sana kama hizi habari ni za kweli ila kama ni za kuzusha JF inaweza kugeuka shubiri kwako
Binafsi nimepata ukakasi na hii taarifa. Msiba umetokea saa tisa usiku na saa kumi usiku ukaingia JF kupost!
Naamini kwanza umepata taharuki kubwa na kuna mengi ya kufanya kabla ya kutangazia watu msiba utakuwa wapi
Je marehemu aliugua? Kwa muda gani?
Je kafia hospital au nyumbani?
By the way tupe taarifa sahihi tutakushika mkono katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ikithibitika ni kweli
Mungu awape Nguvu katika kipindi hiki kigumuHabar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Huyu jamaa kasoma na watu wote walioandika mbele ya haki.Nasubiri post ya Ushimen itakayosema "RIP class mate".
Kama wewe ni weak person, huwezi.Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Inna lillah wainna ilayh rajiuun.Habar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana NduguHabar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Dah,pole mkuu,kufiwa na mtoto au mke, ni maumivu makubwa sana sana.Habar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Pole nduguHabar ya asiku huu nimepata msiba WA mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku WA sa tisa
Msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwa hiyo Mungu kamuua mtoto wa ndugu yetu Magical power ?Pole sana ni kazi ya Mungu