Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Pole sana ndugu yangu Magical power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KirangaKwa hiyo Mungu kamuua mtoto wa ndugu yetu Magical power ?
Kwa nini mnapenda kumfanya Mungu aonekane mkatili sana wakuu?
Kweli Mungu awanyang'anye Magical power na mke wake mtoto wa miaka 2?
Kwa hiyo wazazi wanavyolia kwa uchungu Mungu anafurahi au naye anahuzunika?
Pole sana kwa msiba Magical power
Kwema mkuu..Pole sana kwa msiba Magical power
Jamaa post zake nyingi kama unamfuatilia nyingi ni za kutunga,sio mkweli,ana post nyingi humu za kutunga. Ata hii naamini sio kweli.Magical power pole sana kama hizi habari ni za kweli ila kama ni za kuzusha JF inaweza kugeuka shubiri kwako
Binafsi nimepata ukakasi na hii taarifa. Msiba umetokea saa tisa usiku na saa kumi usiku ukaingia JF kupost!
Naamini kwanza umepata taharuki kubwa na kuna mengi ya kufanya kabla ya kutangazia watu msiba utakuwa wapi
Je marehemu aliugua? Kwa muda gani?
Je kafia hospital au nyumbani?
By the way tupe taarifa sahihi tutakushika mkono katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ikithibitika ni kweli
Makuzi ya Watu wengi yanawafanya waweze kuandika chochote na popote bila kujali anaathiri kiasi gani Watanzania wengi hawajakulia maisha ya kuambiwa Utotoni hiki usifanye na majibu ya humu ndio kioo cha makuzi yao..Kila mmoja ana namna yake ya kuomboleza, huyu hii ndiyo namna yake.
Huyu ni ndugu yetu hapa jukwaani, ametupa taarifa na eneo uliko msiba akitegemea faraja kutoka kwetu na sio haya uliyoandika.
Kama huna neno la faraja msibani ni vyema usizungumze kabisa.
Na ilivyo kuwa ni kwamba unampatia mtu yeyote barua, akifika kijiji husika ye anatupa tu barua hapo kijijini, atakayeiokota ndio anamtafuta mlengwaNadhan age hii ya social media imechangia pakubwa watu kukosa ujasiri.
Zamani ilikuwa unafiwa, halafu unalazimika kuandika barua kadhaa za taarifa ya msiba huo na kuzituma kwa ndugu na jamaa mikoani kwa kutumia vyombbo vya usafiri
Sio mwanaume ni mwanamkeJamaa post zake nyingi kama unamfuatilia nyingi ni za kutunga,sio mkweli,ana post nyingi humu za kutunga. Ata hii naamini sio kweli.
Kawaida mbona.Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Poleni wote mlioondokewa na wapendwa wenu.Kawaida mbona.
Mimi siku niliofiliwa na mama niliweka status kuwapa watu taarifa. Walau taarifa inawafikia watu wengi
Asipofanya hivyo nani atakufanyia? Inabidi kujikaza
Ni kweli anaweza kuandika lakini duh mapema mno ilikua, angeweza kusubil kwanzaukifiwa ndo huwezi kuandika boss?? Jamaa katoa taarifa