Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Habar ya usiku huu,

Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.

Msiba upo Morogoro Mjini Forest Kileka

=====

Update

Habari ya asubui
Jana tumefanikiwa kumstili Binti yetu salama Kwenye nyumba yake ya milele
Sasaiv tunaendelea na ratiba za kawaida za msiba.
Kwa mlio nitia moyo Mw/Mungu awabariki 🙏🏽
Na wale mlio nikejeli Kwenye kipindi iki kizito na kigumu na wewe nakuombea upitie katika Hali iyo Ili uone n wakat gan ninao pitia Kwa sasa🙏🏽
 
Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?
Kila mmoja ana namna yake ya kuomboleza, huyu hii ndiyo namna yake.

Huyu ni ndugu yetu hapa jukwaani, ametupa taarifa na eneo uliko msiba akitegemea faraja kutoka kwetu na sio haya uliyoandika.

Kama huna neno la faraja msibani ni vyema usizungumze kabisa.
 
Back
Top Bottom