Hehehehehhe umenikumbusha kwaya flani ya kitambo kidogo inaitwa dudu baya... Ngoja nikumegee vipande special.. "dudu baya usicheze nae, ukicheza nae utauwawa, dudu baya".....[emoji23][emoji23][emoji23]. Btw mi si dudu baya usiniogope[emoji6]Tena wewe ndiyo sitaki kabisa.teh
Hapana kwa kweliUmeila?
Mm PadreHa ha ha wewe unaomba papuchi
Na ukiomba uwe mstaarabu mkuu na gharama uhudumie. Sio utake kunjunja tuMe ntachelewa kidogo. Sio kama jamaa
Hehehehehhe umenikumbusha kwaya flani ya kitambo kidogo inaitwa dudu baya... Ngoja nikumegee vipande special.. "dudu baya usicheze nae, ukicheza nae utauwawa, dudu baya".....[emoji23][emoji23][emoji23]. Btw mi si dudu baya usiniogope[emoji6]
Hapana kwa kweli
Kwanini sho[emoji28][emoji28][emoji28]Wewe sitaki. Bora nikose rafiki. Ha ha ha ha.
Na wewe pia maana unasimamia maadili[emoji1488]Wewe ni rafiki mzuri.
Hebu tusubiri jibu hapaHaijaandikwa pahala lakini... Au ni tusheria tudogo tudogo twa urafiki
He ha ha ha ila jamani wanaume.Mm Padre
Kwanini sho[emoji28][emoji28][emoji28]
Na wewe pia maana unasimamia maadili[emoji1488]
Urafiki haugombwiNdioo anaweza
Ohhh kabisa mzee. Vipi ushapata rafiki?? Uzi unatembea huu mkuuLadha ya maandishi chief.... Unarudi nyumbani kaptula imetoboka, unachapwa viboko ila hujali as long as ushaenjoy[emoji23][emoji23][emoji23]
He ha ha ha ila jamani wanaume.
Baba yenu ni mmoja.
Hizi fikra za wengi hizi. Sisi mbona hatupo huko jamani. Ningeweza tu kusema nimepata mpenzi. She is a friendSasa haraka ya nini? Au ndiyo gia ya kumfanya ailete K kwa sahani!
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.
Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.
Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.
Thank you pal for being there for me.
Hahahha umenikumbusha kitu flan... Kama wewe ni mdau wa TV Shows tafuta hii inaitwa Into the Badlands nadhani kama sijakosea S02..kuna pahala mshkaji anamwambie manzi ake "friend of my friend is also my friend" baada ya kumkuta anachonga na huyo best ake[emoji23][emoji23][emoji23]Rafiki wa rafiki hawezi kuwa rafiki yangu.
Nataka wangu mwenyewe. Au haujui urafiki una wivu?
Usijali. I will PM you, sawa???Relief Mirzska
Kama una rafiki yako anayekufanania tabia naomba uniunganishe nae.
Nitakuwa rafiki mwema kwake. Asiombe papuchi na mimi siombi hela.