Sasa haraka ya nini? Au ndiyo gia ya kumfanya ailete K kwa sahani!Bado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa haraka ya nini? Au ndiyo gia ya kumfanya ailete K kwa sahani!Bado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Papuchi ya kirafiki haiombwi best... Inatwaliwa kulingana na mazingira... Hadi naona aibu mimi[emoji85][emoji85][emoji85]Wewe unaombaga? Tuanzie hapa.
Rafiki yako umemwomba papuchi?
Mimi sitaomba kamwe... Kwanza hata sitodinda nikikumbatia.Relief Mirzska
Kama una rafiki yako anayekufanania tabia naomba uniunganishe nae.
Nitakuwa rafiki mwema kwake. Asiombe papuchi na mimi siombi hela.
Mbona unayafanya mambo kuwa magumu aiseeeRelief Mirzska
Kama una rafiki yako anayekufanania tabia naomba uniunganishe nae.
Nitakuwa rafiki mwema kwake. Asiombe papuchi na mimi siombi hela.
Duh!!!!Wiki tuu kaomba papuchi.
Hatari sana! Mkuu wewe ukikubaliwa kuwa rafiki utaomba papuchi ovyo ovyo??Mamaeeeeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kapate ujasiri wa ivoo
Hatari sana! Mkuu wewe ukikubaliwa kuwa rafiki utaomba papuchi ovyo ovyo??
Huyu kidogo anapenda utani. Ila Nina uhakika akiwa serious huwa haombi ombi sanaTeh !! Kwamba kuomba lazima uombe.?
Hufai kuwa rafiki. Mtoa mada njoo fundisha huyu urafiki unavyokuwa.
Mkuu huyo nanwogopa ni mtaalamu wa kuanzishia mabinti uziAiseee Inna nsije nkawa mchonganishi hebu nenda PM huko ulikoitwa
Weee rafiki uje uniseme nimeharibu vitu vyako akhaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na mm nipate Rafiki aiseeee
Nani kamwaga mchele?Inabidi aiseee. Sasa huyu mtu wetu anakuja kumwaga kuku hapa kwenye mchele mwingi??
Weee rafiki uje uniseme nimeharibu vitu vyako akhaaa
Hiii mbaya sana! Wakija tena hebu uniulize kwanza.Wanasema urafiki kumbe wanataka kukunjunja tuu.
Mkuu ndio hivyoAiseeee umenitia moyo
Time will tellDuuh...! yaani hamjakutana ndio unashangilia hivyo dogo? mimi nilijua tayari mnabadirishana mawazo ana kwa ana. Sikukatishi tamaa ila utakuja kusema tena hapa,kitu utakachokutana nacho sicho kabisa ulichoki-target,Sicho ulichokiingiza kichwani. Yote kwa Yote mitandao ya kijamii kuna marafiki kibao tu wazuri saana ya ufikiriavyo
Oohhh kumbeAmri ya sita "usizini"