Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Duuh...! yaani hamjakutana ndio unashangilia hivyo dogo? mimi nilijua tayari mnabadirishana mawazo ana kwa ana. Sikukatishi tamaa ila utakuja kusema tena hapa,kitu utakachokutana nacho sicho kabisa ulichoki-target,Sicho ulichokiingiza kichwani. Yote kwa Yote mitandao ya kijamii kuna marafiki kibao tu wazuri saana ya ufikiriavyo
Time will tell
 
Back
Top Bottom