Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Aaaah wapi tenaaaaNilipata rafiki kimeo huku. Sitaki hata kumwamini mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah wapi tenaaaaNilipata rafiki kimeo huku. Sitaki hata kumwamini mtu.
Inabidi aiseee. Sasa huyu mtu wetu anakuja kumwaga kuku hapa kwenye mchele mwingi??
Ntafanya hivyo mbaba ila mbona juu yake sina hivi? Hivi kuna mtaalamu yoyote anaweza kuniambia hizi ni dalili za ugonjwa gani??Angalia post na comment zako za nyuma kama uliwahi kumpiga mawe jiwe na watukufu wenzake unaweza kujikuta unatumbukia kwenye Mdomo wao, Nina experience huwa wanapandikiza watu huku wakijifanya na maisha tofauti na Unaweza kudhani ni Msichana akawa mvulana anakutega kwa profile fake na chat za kike au msichana aliye kazini kukuwinda 🙂, ama isiwe hivyo! Usiogope, Nenda polepole ndugu...
Wouh! But still scanning on process before things get boom.. Good for you chief. Utotoni kulikuwa na ile michezo ya kupanda kilimani na kuteleza kwa mikebe.. Basi unajionea raha za dunia. I see you there[emoji4]Mkuu, it's almost a week now and I am just happy. I could see the difference someone can make into ones happiness
Aaaah wapi tenaaaa
Ndio mkuu ninae
Badooooo. Ila yeah I know all will be wellMumeshakutana? Hongera sana.
Kweli?? Duh!!! Pole ila usichokeeeNilipata rafiki kimeo huku. Sitaki hata kumwamini mtu.
Nipo jirani nimejaamo hasaaa.Nakuona jirani, kama umemisika hivi... Tukitoka koroshoni tunahamia kahawani sasa... Just you only to choose wisely[emoji23][emoji23]
Humu.
I pray for that kwa kweliUrafiki wa namna hyo mara nyingi unakuwaga na happy ending
[emoji15][emoji15]kwa nini?Umesha nikata maini
Badooooo. Ila yeah I know all will be well
FactHao hawazuiliki hasa sehemu kama hii ambayo ina watu wa aina mbalimbali.
Kwann ni kimeo
[emoji15][emoji15]kwa nini?
Kapate ujasiri wa ivooWiki tuu kaomba papuchi.
Kweli?? Kuna jamaa yangu humu anaitwa Hazchem Plate mbona ni mtu poa tu rafiki yangu wa damuHumu.
Usikatika maini mkuu. Na wewe muombe urafiki you never know. There is no harm in tryingUmesha nikata maini
Mi mzima jirani, nimetamalaki kama harusi ya mtoto wa mfalme na vile twaijongea Ijumaa mambo si haba kabisa.Nipo jirani nimejaamo hasaaa.
Hahahaaa. Lol. Mzima lakini?