Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #81
Mnajuana nyie. HahahahaahahaKwaiyo humu huna marafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajuana nyie. HahahahaahahaKwaiyo humu huna marafiki?
Yaliyopo yanaogopesha tatizo hahahahaahahahNimecheka ni jinsi gani uyo kiongozi alivo na mtazamo wa aina moja tu.sio kila mtu ni konki
Usijali mkuu, ntakufahamishaNdio..hafai kabisa,ebu na mm nsaidie kutafuta rafiki wa kweli kama wako
Ahsante ledada. Wewe unae rafiki mwema kama nlienda Mimi??Hongera sana mkuu
Pamoja sanacheers...
Aiseee Inna nsije nkawa mchonganishi hebu nenda PM huko ulikoitwa[emoji116]
Wtu wazima huwa tunaongea mafichoniAfadhali mkuu, hebu malizana nae huko huko kwanza.
Angalia post na comment zako za nyuma kama uliwahi kumpiga mawe jiwe na watukufu wenzake unaweza kujikuta unatumbukia kwenye Mdomo wao, Nina experience huwa wanapandikiza watu huku wakijifanya na maisha tofauti na Unaweza kudhani ni Msichana akawa mvulana anakutega kwa profile fake na chat za kike au msichana aliye kazini kukuwinda 🙂, ama isiwe hivyo! Usiogope, Nenda polepole ndugu...Duh! Unanitisha mzaee
Na mm nipate Rafiki aiseeeeAiseee Inna nsije nkawa mchonganishi hebu nenda PM huko ulikoitwa
Mkuu, it's almost a week now and I am just happy. I could see the difference someone can make into ones happinessKweli umeopoa mkuu. Maandiko yako yametamalaki furaha kuu[emoji4][emoji4]
Fanya hivo ndugu yangu hebu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na mm nipate Rafiki aiseeee
Mzaee! Kwani hiyo inahusika??Rafiki tu umefurahi namna hyo sasa ukipewa nyapu si utadata kabisa
Mzaee! Kwani hiyo inahusika??
Hao hawazuiliki hasa sehemu kama hii ambayo ina watu wa aina mbalimbali.Ahsante Hajar. OF course marafiki wapo wa kweli japo baadhi humu michosho
Inabidi aiseee. Sasa huyu mtu wetu anakuja kumwaga kuku hapa kwenye mchele mwingi??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wtu wazima huwa tunaongea mafichoni
Ndio mkuu ninaeAhsante ledada. Wewe unae rafiki mwema kama nlienda Mimi??
Kwaiyo humu huna marafiki?