Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Duh! Unanitisha mzaee
Angalia post na comment zako za nyuma kama uliwahi kumpiga mawe jiwe na watukufu wenzake unaweza kujikuta unatumbukia kwenye Mdomo wao, Nina experience huwa wanapandikiza watu huku wakijifanya na maisha tofauti na Unaweza kudhani ni Msichana akawa mvulana anakutega kwa profile fake na chat za kike au msichana aliye kazini kukuwinda 🙂, ama isiwe hivyo! Usiogope, Nenda polepole ndugu...
 
Back
Top Bottom