Ngoti pilla
JF-Expert Member
- May 12, 2018
- 272
- 160
Dah bro vip tena kwani wamekufanya nnbe careful though...
tuna experience mbaya sana wengine..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah bro vip tena kwani wamekufanya nnbe careful though...
tuna experience mbaya sana wengine..
Atarudi mkuu amedharurikaKuna mmoja nilitaka ajaribu kukataa mbele ya umati kama si rafiki angu.. Si amekula kona bwana[emoji23]
Huyu ni mwenzetu tutaongea naeBlak angel killing
Hahahahha mwanaYanga kindaki ndaki yule, ngoja tuone[emoji1635]Atarudi mkuu amedharurika
Kwani urafiki unahitaji mpaka umkubali mtu alivyo physically?? I thought we are looking for best heartVipi ukamkubali kwa communication lakini physically usimkubali?
Kutana nae kwanza mkuu.
Lohhh!! Chief unanizika hai naona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu muogope sana tenaaaa
I agree! 110% mkuu usijali ntatia nenoHapana boss siwezi kukuangusha. Mm ni mtu wa caliber yako. We look alike
Zaidi ya huyo. Tenaaaaa mengine sisemi hapaUtanisifia kama huyo?
Usijali. Ntamsalimia na ashakusikia hapayes, am good mkuu, msalimie rafiki yakoo
Mkuu nashkuru Mungu najua hatonisumbua kwa hiloUna bahati sana, naokutana nao mimi baada ya siku chache wanaanza kunipiga mikuki, mara naomba laki, mara nisaidie hiki, mara kile.
Hapana chief. Unadhani nlikukusudia wewe??Lohhh!! Chief unanizika hai naona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Source ilikuwa kwangu ndio maana nikahisi nawe uliamua kupigilia msumari wa mwisho kichwani[emoji28]Hapana chief. Unadhani nlikukusudia wewe??
Sina hakika kama naweza kujisemea. Ila napenda marafiki, not pretendersLove B. Ww si rafiki mwema,? Kama vp tuungane basi
Umeona eer!! Mwenyewe najitafakari hapa ina maana siwezi kuwa rafiki bora!!????Sisi tuliotoka familia ya walala hoi mbona tutakoma mwaka huu.
[emoji120][emoji120]Zaidi ya huyo. Tenaaaaa mengine sisemi hapa