Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali


Duh... kama ni Timu ya Mpira unaonekana unashambulia sana ila unafungwa Wewe magoli mengi. Masomo 8 halafu unaingia ' nyavuni ' mara 5 nzima na unapona kwa Masomo 3 tu? Mkuu yawezekana bahati yako haiko ' Kitaaluma ' zaidi na inawezekana kuna mahala pengine unaweza zaidi na ni mzuri mno ila labda hujajigundua au hujapajua. Pole sana Mkuu.
 
Hivi vitoto vinavyobalehe chuoni ni tabu mnooo akikua labda atabadilika
 
Kuna kitu nataka kuatarch sema kinazingua,,,ila punguza utoto
 
We kilaza si ndo ulisemaga mwaka huu umefaulu kwenda chuo umepata div 1 ya point 10....
Sasa leo umedisco tena.
Mods acheni kujambiana ofisini...njoo field muwaban watu kama hawa kila siku wanapost upotoshaji tuu
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Punguza uvulana ushakua,,ujinga achia vitoto vya o-level dogo
 
Kwanza naanza kupata hata wasiwasi na elimu yake huyu...!
Kuna wanachuo wapuuzi siku hizi, lakini sidhani kama wamefikia hizi..!

Aliyekwenda chuo huwa hajichoreshi bwana mdogo, huo ni ushamba..
Serikali inaposema hakuna ajira haimaanishi hakuna nafasi ya kuwaajiri watu, ila ina wasiwasi na watu wanaoenda kuajiriwa.
Kwa mwendo huu mtamaliza chuo sana, mkakae nyumbani kusubiri ajira, na akili zenu za kipuuzi hizo..

Mitoto ya siku hizi sijui ikoje
 
Mkuu gentamycine na wewe unacomment ushauri kws huyu DOGO asiyejielewa?
Kwa pitia comments zangu hapa utaelewa kuwa huyu DOGO anachezea akili zenu. Chuo gani ambacho kimetoa matokeo ili hali UE imefanyika juzi tu?
 
We kilaza si ndo ulisemaga mwaka huu umefaulu kwenda chuo umepata div 1 ya point 10....
Sasa leo umedisco tena.
Mods acheni kujambiana ofisini...njoo field muwaban watu kama hawa kila siku wanapost upotoshaji tuu
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Huyu wampige ban tu
 
huyu jamaa simwelewagi aiseee..anaweza.kupost kama form four mara form six mara yupo jib ...HR 666 hatari
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Usimkatishe tamaa bifsi nilipata sapu nne India nikifanya engineering sem ya kwanza ila nilipigana kiume na kuchomoa kwahyo Usimkatishe tamaa ila kibongo bongo hyo inaweza ikawa disco
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Tatizo lenu mkifika chuo mnaendekeza sana mbunye na pombe
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia&lt;br /&gt;Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kufeli hatufeli&lt;br /&gt;Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…