Niende PCM au PCB ?Pitia narudia kwa mara ya 3 na ya mwisho, PITIA POST NAMBA 100
Nahisi nimeathirika na VVU
Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Ukisikia HR 666 amefariki utamkumbuka kwa lipi
HR 666 hujambo?
Siku ukipata bahati ya kuonana na HR 666 utamwambiaje
Hivi kwanini vijana wengi wa mtaani wanapenda sana lugha ya kizulu?
Niende PCM au PCB ?
Kwa nini devils worshippers wengi wanapenda kuvaa nguo nzito ?
Nahisi nimeathirika na VVU
Hivi kwanini devil worshippers wengi wana IQ kubwa kuliko Muslims/Christians?
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Great thinker na killazzaaa wa JF
Nifundisheni maneno ya kuongea na mwanamke
Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda
Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa
Shunie tangu nimpe ujauzito ananinyanyasa sasa, nataka nimletee mke wa pili
Where are u Numbisa
I hope ushapitia sasaNiende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Huna lolote.
Unawadanganya wazee wako. Ujinga at work
Hizo ni baadhi tu. Za msingi kwa uzi wake ni hizi mbili Niende PCM au PCB ?Kuna mashindano ya kutoa threads humu? Mbona anatoa nyingi hivi?
Shame on youHizo ni baadhi tu. Za msingi kwa uzi wake ni hizi mbili Niende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Huyu jamaa hajielewi
Niende PCM au PCB ?I hope ushapitia sasa
Haya turudi kwenye mada
Toa ushauri wako
Niende PCM au PCB ?Shame on you
Unatumia nguvu nyingi saana lakini watu wanakupuuzia tu
Bro mm nasoma udsm..na sasa nipo likizo sina shida. ..vipi wewe na uwongo wako?? Hata chuo unachosoma huwezi sema hahahahahahahahaSasa unakataa nini ?
Unaonekana umesoma art ndio maana unaona ajabu mtu kusoma masomo 8 kwa semester
Shame on you
Unatumia nguvu nyingi saana lakini watu wanakupuuzia tu
Kabisa bro ..mm pia ni mwanafunzi wa udsm..najua taratibu vizuri tu sio huyo mwehu hajielewiMkuu usingaike na huyu mtu.
Udsm wana week mbili toka wamemaliza semester na matokeo bado hayajatoka. Vyuo vingine wanaanza mitihani kesho.
Huyu anawa enjoy tu. Soma hapa
Niende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Udsm kozi gani hiyo?Bro mm nasoma udsm..na sasa nipo likizo sina shida. ..vipi wewe na uwongo wako?? Hata chuo unachosoma huwezi sema hahahahahahahaha
Hizo ni baadhi tu. Za msingi kwa uzi wake ni hizi mbili Niende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Anayezingua ni huyo raisi 20 anatafuta kujulikana kwa nguvuUnazingua unapunguza moral ya watu kutoa ushauri
HahahaahahhahaaNiende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Huna lolote.
Unawadanganya wazee wako. Ujinga at work
Bcom hrm.Udsm kozi gani hiyo?
Niende PCM au PCB ?Anayezingua ni huyo raisi 20 anatafuta kujulikana kwa nguvu
Kama ni kutoa link si amezitoa mbona anarudia rudia we hushtuki tu kama anataka watu wamjue?
Mkuu hivi humuoni kama jamaa ana upungufu wa akili ?Wote tayari mnajulikana cha msingi mvumiliane tu.