Umeshasema sup 7,kwa semister 2,huyu kagonga 5 kwa semister 1, bado hajaweka dd zake, yaani anasikitisha hata kuomba sympathy kwa uongozi wa chuo ni utata, maana inaelekea hata hayo 3 katokea tundu la sindano. Daaah, aisee hii ni full Makonda's, atafuta Kagenzi tu uendelee na maishaHuo ndio uwezo wako huko ulikosoma kabla walikuwa wanakubeba. Kama haujadisco kutokana pengine na kufikisha gpa ya 2. Komaa nnawajua waliopata sapu 7kwa semister mbili na wakatoboa
Mkuu pitia post zangu hapo juu kuhusu huyu DOGO anayechezea akili za baba zake kwa kuleta mzaha hapa jukwaaniUmeshasema sup 7,kwa semister 2,huyu kagonga 5 kwa semister 1, bado hajaweka dd zake, yaani anasikitisha hata kuomba sympathy kwa uongozi wa chuo ni utata, maana inaelekea hata hayo 3 katokea tundu la sindano. Daaah, aisee hii ni full Makonda's, atafuta Kagenzi tu uendelee na maisha
Hivi jamii forum hakuna kuwapumzisha kupost watu kama hawa wanaochezea akili za watu mara advance mara chuo? Si uongo huu uliotukuka!!!
Rejea post namba100
Mkuu nakuja inbox kwa ushauri zaidi hapa kuna watu wananiharibia uziSoma, utasapua, achana na mitandao na kubeti, kuna mwenzako anazo 6 na ana amani atazitoa zote.
Nashukuru mkuu kwa maneno ya hekimaWe unazungumzia supp tu inakukondesha watu wamedisco zaid ya mara saba na hawakukataka tamaa Leo wana Phd ,cha msingi we carry huku ukilichomoa moja baada ya jingine
Sasa kumbe matokeo hayajatoka ila unahisi.....Yap ni kweli
Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa
Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu
Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Mkuu acha uongo Jan. 31 2017, uliuliza uende PCM au PCB ukaja ukauliza EGM au CBG ndani ya mwezi mmoja ushafika chuo.Course work ya A nilipata kwenye somo moja ambalo ndilo miongoni mwa masomo niliyofaulu
Mkuu kuna watu nimewazidi alama za kuingilia hapo chuoni
Pia hata matokeo ya kidato cha nne napo nimewaacha mbali saana
Lakini cha ajabu kozi work yao ipo juu saana kuliko mm
Hivyo basi hii inamaanisha ningeweka nguvu kubwa kama wao ningewaacha mbali
Sawa mkuu nashukuruPole. Sana. Wewe ndo unajua zaidi mazingira yako. Unapoomba ushauri kwa mtu mwingine weka facts za msingi zote ili ushauri usiwe general sana. Ukisema nilikuwa nakunywa basi anakushauri labda pombe haikufai. Au labda wadada itakuwa lbda ulipoteza muda wako mwingi mana issue ya kufelishwa haiwezekani uwaingilie maprof 5 .so pima yote amka mana jibu la mtu analo mwenyewe wengine huchangia tu. Pili hayo mawazo niliwapitaga watu form iv na vi ndo uyaache kabisa. Moja mahali waliposoma. Mazingira. Useriousness. Uelewa na kukua kwa akili na kujiamini hubadilika alfu lingine kukariri sana mana chuo sijui labda chenu kiwe vingine uelewa una matter sana. So kazana wewe mwenyewe acha kuangalia ya wengine mana hapo hata kuomba msaada utakuwa unaogopa kisa uliwapita o level or A level.
Mkuu je kwenye kusapua cheti kitaonesha kuwa uliwahi kupata sup?Kusup Ni kawaida Chuo ikiwa si mtu mwelewa na makini ILA Kuna muda WA kusapua ukisha sapua vizuri cheti kitakaa sawa we jiandae kurudia mtihani na ujitaidi kuziondoa hizo sup
Usijifanye kutafuta huruma kwa mods. Ingawa ya ID ya chid boy so yako lakini post zote za kwako zipo. Sema mods wanakuja kukuoa BAN tuUna uhakika hiyo ID ya Chid inayouliza EGM au CBG ni yangu ?
Basi ngoja tufanye mchezo huu
Nawaalika ma moderators wacheki kama hiyo id ni yaangu basi wanipe ban kama sio ya kwangu wa kupe wewe life ban kwa kusingizia member mwenzako id ambayo sio yake
Cc invisible
Cc maxense mello
Cc paw
Cc cookie
Cc mod1
Cc Jamiiforums
Cc mhariri
Cc mod2
Cc mod3
Cc mod4
Cc mod5
Post yangu ipi ipo kule embu iwekeUsijifanye kutafuta huruma kwa mods. Ingawa ya ID ya chid boy so yako lakini post zote za kwako zipo. Sema mods wanakuja kukuoa BAN tu
Niende PCM au PCB ?Post yangu ipi ipo kule embu iweke
Acha umbeya ,umbeya ni kwa ajili ya wanawake
Usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho