Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Huu ni uzi wako mwingine:Niende PCM au PCB (31.01.2017)? Hapo ni issue ya kwenda F5. Na uzi wa leo ni matokeo ya chuo kikuu. Ahsante nimekuelewa.
Aise huyu atakuwa ni mpumbavu kama watu tunapoteza muda kusoma ujinga wake alaf yeye analeta post za kipuuz huo ni ushez wa hali ya juu...
Na hiyo tabia aiache mara moja...
La svyo

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Pole mkuu usiwaze kama hyo ni first semester kaza kwenye ya pili uspate sup alaf jitahid kusomea sup kwa bidii
 
Umekalia mbunye tu, tunawajua mkifika chuo mnajifanya mabishooo! Elimu ya kibongo UNADHANI mchezo heeee! Nenda kasapue lakin achana na kugawa PUCHI hadi utakapomaliza ! Inaonyesha utoaji wa puchi hauendani na uwezo wako wa kufaulu!
 
Kama alivosema jamaa apo huna haja ya kupanic kwa sasa.... We tulia kisha kufoccuss af kingine ni bora kuwa muwazi kwa wazaz wako sasa wakat bado mapema naimani watakuelewa tu coz if it was meant to be then it must happen.... Next time pull yo trousers and get serious with ur life...
 
How did you get 5_ suplimentaries ???? Are you serious with what you have been doing out there ???
My advice#//
Leave the colleges if not necessary , there other opportunities you may try to fix yourself not education with such circumstances!! You are losing a time on that my young brother!!! #
 
Achana na elimu fanya Vitu vingine ukizingatia umefeli kicheti lakini kichwani uposafi kwa mijibu wa maelezo yako sasa tumia elimu uliyonayo kujiendeleza (kutafuta) maisha. Bora wewe umesoma kunawatu hatakusoma hawajasoma wanavyeti feki na wengine hawana kabisa na mambo yanaenda.
Achana na maisha ya vyeti ,ishi maisha ya Elimu uliyonayo sawa brother ,kumbuka hivi vyeti vimetuendesha sana kwenye Nchi hii mpaka tukafikia hali hii.
Be careful my friend.
Certificate is just to verify your level of education,school or college, university you attended and a year you completed
Thats so and nothing more
Unless otherwise stated.
But knowledge is in your body (Head)
It's me Africa.

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hivi wewe si ndo ulikuja na habari ya ambiance?
Kama ndo wewe sup 5 unasitahiri. Vipi na UKIMWI ulishapima?
 
Acha mawenge, stay calm n yu can do better blazaa, bdo nafasi unayo ila paparapupa achaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…