Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

apply diploma dirisha limefunguliwa mwisho tarehe 06/03/2017 ukikomaa na na degree utakufa kibudu na swala kwamba waliokutangulia watamaliza ajira mtaani hakuna na ushahid kijana mwaka wa 6 hana ajira.....kozi acount cjuh mnaita bkom,,,
 
Huo ndio uwezo wako huko ulikosoma kabla walikuwa wanakubeba. Kama haujadisco kutokana pengine na kufikisha gpa ya 2. Komaa nnawajua waliopata sapu 7kwa semister mbili na wakatoboa
Mkuu sikuwa nabebwa

Nina uwezo mzuri tu wa kiakili sema siku fit na mazingira mapema ,mpaka nashtuka imeshakuwa too late
 
apply diploma dirisha limefunguliwa mwisho tarehe 06/03/2017 ukikomaa na na degree utakufa kibudu na swala kwamba waliokutangulia watamaliza ajira mtaani hakuna na ushahid kijana mwaka wa 6 hana ajira.....kozi acount cjuh mnaita bkom,,,
Mkuu kozi ninayosoma ipo chuo kimoja tu east africa nzima


Pia kusoma diploma kidogo itakuwa ngumu kwa maana mm nimeshahitimu kidato cha sita na alama zangu za ufaulu zinaridhisha sana
 
Jaribu kuyawekea ratiba mpaka sept 11 kwenye kukaa sap. Unakua umeyasoma yote bila wasws. Cha msingi acha kupaniki jitulize uhakikishe next semister haupati hata sap moja
 
Mkuu kozi ninayosoma ipo chuo kimoja tu east africa nzima


Pia kusoma diploma kidogo itakuwa ngumu kwa maana mm nimeshahitimu kidato cha sita na alama zangu za ufaulu zinaridhisha sana
Wewe kijana hiyo kozi huna uwezo nayo chakufanya mwakani kasome kozi nyingine.
 
Kwanza madem wa chuo umewapata wangapi tuanzie apo kwanza ili nikupe ushauri
 
Jaribu kuyawekea ratiba mpaka sept 11 kwenye kukaa sap. Unakua umeyasoma yote bila wasws. Cha msingi acha kupaniki jitulize uhakikishe next semister haupati hata sap moja
Daaah mkuu umenifungua akili ,aiseee nashukuru saana kwa kweli

Watu kama nyie ndio mnasababisha jamii forum watu tuendelee kuwepo aisee nashukuru saaana kwa kweli
 
Wewe kijana hiyo kozi huna uwezo nayo chakufanya mwakani kasome kozi nyingine.
Mkuu kuna watu nimewazidi alama za kuingilia hapo chuoni

Pia hata matokeo ya kidato cha nne napo nimewaacha mbali saana

Lakini cha ajabu kozi work yao ipo juu saana kuliko mm

Hivyo basi hii inamaanisha ningeweka nguvu kubwa kama wao ningewaacha mbali
 
Jaribu kuyawekea ratiba mpaka sept 11 kwenye kukaa sap. Unakua umeyasoma yote bila wasws. Cha msingi acha kupaniki jitulize uhakikishe next semister haupati hata sap moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…