Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Cha msingi ni kufocus kama unarudia rudia na ongeza bidii kwenye kusoma. Kama unachange coz change ukiwa serious na masomo. Usiangalie nyuma wala usijione umeshindwa. Kushindwa ni tendo la kukukumbusha kuongeza jitihada kwa lile uliloshindwa mwishoni utafanya vizuri sana tu. Cha msingi ni maamuzi yako ya sasa kwamba unafanya nini?
 
Kapige mbonji
 
Mkuu kozi ninayosoma ipo chuo kimoja tu east africa nzima


Pia kusoma diploma kidogo itakuwa ngumu kwa maana mm nimeshahitimu kidato cha sita na alama zangu za ufaulu zinaridhisha sana
Course moja east Africa ni ubaharia pekeee zote zingine zipo kila nchi labda utujuze course gani iyo
 
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
PUNGUANI WAHEED (In FaizaFoxy voice) huyo mzazi wako si bora hiyo hela aliyopoteza kukulipia ada angenunulia ng'ombe sa hivi angekua anajinywea maziwa tu kupunguza sumu ya mavyakula ya kileo.
 
hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…