Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Vijana wengi mkishafika mjini huwa mnasahau kilichowaleta mjini.

Inabidi uwe serious na kinachokuweka mjini.

Nawaona wengi wao wakishafika vyuoni ni kuanza kushindana kwa mambo yasiyokuwa na umuhimu.

Unamkuta kijana kuanzia asubuhi hadi jioni kashikilia simu yupo instagramu anapost tu mipicha na kufuatilia Diamond kapost nini

Una bahati sana ingekuwa kuna ku-disco kwa semester, basi wewe wangekuvuna asubuhi na mapema.

Soma kijana, kisomo ndicho kinachokuweka hapo ulipo
 
pole kjna ndo mziki wa chuo huo noumaaaaaa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
pole sana!! aisee wewe hukuwa serious kabisaa ila nimekutana na worse scenarios yako can be solved! jiandae vema na kwenda kufanya hizo sup guess ni mwezi wa 9, kama unajua umekosea wapi then unao uwezo wa kurekebisha na kufanya vitu vinavyoeleweka. the good thing umejitambua kilichobaki ni kufanya maamuzi.. jitahidi next sem usiate sup ili uwe makini na hayo ma5 tu! and sup mitihani yake huwa si migumu bado unayo nafasi!
 
Kwa idadi ya masomo uliyofeli kama hapo chuoni kwenu utaruhusiwa ku carry bas hicho sio chuo ni TAKA TAKA...
 
unasoma chuo gani? na uko mwaka wa ngapi? baada ya hapo nitakujuza cha kufanya
 
we ni noma.jifanyie tathmini then ufikie muafaka kama kweli elimu yadarasani inakufaa.wakati mwingine si kila mtu elimu ya darasani inamfaa.unaweza kuwekeza kwenye kitu kingine ukafanya vizuri zaidi kuliko elimu ya darasani.
 
Acha kabisa kukesha jf haswa kwenye jukwaa la MAPENZI.
 
sup 5 mbona kidogo hizo!!!!!!!
watu wanapata sup 10 na wanachomoa zote na maisha yanaendelea!!!!!!
kuna vyuo ukisoma kupata sup 5 kawaida sana maana kwa semister 1 watu wanakamatwa 200 kwa somo moja.
cha msingi ujiandae ukazichomoe, kuzikimbia sio suluhisho!!!!
hayo tuu!!?
 
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Anza kuwaambia habari mbaya ya uongo (tunga uongo wowote ule). Mfano "wewe ni mjamzito" watashangaa na hawataelewa vizuri watauliza "inawezekana vipi kuwa mjamzito?" Ukizingatia jinsia yako (naamin wewe ni ME) watachanganyikiwa haswa.

Wakiwa kwenye peak ya kuchanganyikiwa waambie!
"Nilikuwa nawatania tu! Ukweli ni kwamba nimefeli vibaya sana UE chuoni"

Watashusha pumzi "hepheeeew, pole sana mwanangu"

PUMBAVU MKUBWA WE! MLIPOKUWA MNADANGANYANA KWAMBA CHUONI MAISHA NI FULL BATA NA KUUNGANISHA VIKOJOLEO, MATOKEO YAKE NDIO HAYO!!!
 
Hawezi kudisco sasa hivi mpaka semester ijayo! Ila jamaa sijui anasoma BVM? ma-5?
 
Kuna uzi mmoja wa huyu dogo unahusu Maisha ya chuo bata sana kama sikosei..

Ndo bata hyo kaipata ,
 
Kitakachokufanya udisco ni GPA na sio sup kwaiyo kama utafanya vizuri kwa semister ya pili utajiweka mahali pazuri.
Kuna mtu alipata sup nyingi kama wewe kwenye first semister watu wakamshauri aache chuo ila aliendelea lakini semister ya pili hakupata sup kwaiyo hakudisco kwa sasa yupo mwaka wa mwisho.
 
utakuwa na undugu na daudi bashite. sio kwa ukilaza huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…