Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Sio CoET ,,UD pale ni hatareeee
Huo ndio uwezo wako huko ulikosoma kabla walikuwa wanakubeba. Kama haujadisco kutokana pengine na kufikisha gpa ya 2. Komaa nnawajua waliopata sapu 7kwa semister mbili na wakatoboa
 
ahirisha mwaka ujipange hata kisaikolojia. utadisco ndani ya sekunde kama ukiendelea. mbaaya zaid kama upo udsm, omba urudie mwaka kabisa
 
Yap ni kweli

Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa


Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu

Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Uko udsm ww, basi muombe baba akupeleke India ushadisco mwanawane.
 
UKO CHUO GANI? MAANA UZITO WA SUP UNATOFAUTIANA CHUO NA CHUO
Yaani chuo hicho wamesha maliza end of semester exams, wamesahihisha na majibu yametolewa? Au unataka kusema hata hukuruhusiwa kufanya end of semester examinations. Hii scenario inatia wasi wasi naona hapa tunaingizwa chaka labda tuambiwe ni chuo gani na program/course ipi tuweze kutoa ushauri.
 
Reactions: ram
Semister moja mnafanya masomo nane? Course gani hiyo?
Kusoma course nane kwa sayansi inawezekana lkn huyu hajaonja chuo, ukisapu huji jf, hata kwa kujiaminisha mwenyewe baada ya pepa kama umefeli saa hii angekuwa mgonjwa.
 
Mitihani imeisha juzi juzi tu hapa mara na matokeo yameshatoka? Subiri kusapua mwezi wa tisa, I can't imagine semester ijayo usapu matano tena.... Discontinue nje nje
 
wewe dem hizo ni story ulizohadithiwa na bwana wako ambaye kashafanya pepa km ud;sema uneshindwa kupangilia pumba zako!
 
Wewe sio wa kwanza kukutana na msala wa SUP mdogo wangu muhimu kaza msuli toa vimeo ivyo,sijajua uko chuo gani maana vyuo vingine hapo usha-disco ujue ila ukipata chance ya kuendelea hakika unatoka muhimu weka mkazo kwenye shule.
 
Mkuu hapa majuzi tu ulisema chuo bata sana unasoma kdogo unapata A tena ukataja narks zako ni 80+ unajua unatufanya sie wehu.


Supp 5/8 maana ake ni Nusu ya kozi zako umefeli kama vile vyuo vya kufeli kwa semester ulitakiwa uwe kwenu maana ushadisko.
Semester ijayo unaweza kuwa serious lakin ukapata tena supp mbili ambazo utakuewa na sup 7, sasa utaweza kuziondoa supp 7 unakuta supp 4 umechomoa alafu 3 ziwe carry forward sijajua chuo chenu mwisho carry ngap maana baadhi ya vyuo ukiwa na carry forward 3 unadisko au unarudia mwaka

Kama kwelii ni wewe majanga yamekukuta acha chuo uje uombe watapofungua maana ukidisko mwez wa 9 hautopata nafasi au ujitoe kiziondoa hizo supp..


Usihishi kwa historia ya o level au advance chuo ni pengine
 
Tatizo lenu mkifika chuo mnaendekeza sana mbunye na pombe
 
Usimkatishe tamaa bifsi nilipata sapu nne India nikifanya engineering sem ya kwanza ila nilipigana kiume na kuchomoa kwahyo Usimkatishe tamaa ila kibongo bongo hyo inaweza ikawa disco
 
inaonekana tukikufuatilia huko nyuma O'level & A'level haujafaulu kihalali yani kwa maana nyingine hauna tofauti na wale wanaofaulu darasa la saba kwenda secondary huku hawajui kusoma" kwanza ni chuo gani kinaruhusu uendelee kusoma huku ukiwa na sup' 5 nachokijua mimi hapo ume' discontinue maana hata nusu haujafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…