DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Mheshimiwa Rais2020 inabdi upewe kitengo kwenye Ofisi ya Taifa ya Takwimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Rais2020 inabdi upewe kitengo kwenye Ofisi ya Taifa ya Takwimu.
KivipiUsikute umepata 1/4
Jamaa ktk masomo nane kala supp 5 atachomoa vipi Disco? Sijui.... Wenzio wakiona course work zimekaa vibaya sana ungeunda zengwe na kuomba kuhairisha mwaka mapemaa unaomba poo. Sasa hapo kaanze kusoma tena prospectus za chuo chenu na vingine ujiandae kuomba upya admission ya kusoma kozi nyingine au chuo kingine.Ondoa mawazo ya kuwa huna uwezo wa kuyasapua kisha jiamini na ujiandae kwenda kufanya supplementary zako.
Ukitaka kuwa mpambanaji kuwa kwanza na lengo la kushinda ili kushindwa liwe tokeo tu lakini hukupanga kushindwa.
Naona unachezea akili za baba zako humu jamiiforum.Mkuu sio lazima matokeo yatoke ujue kama umepita ama laah
Bahati nzuri kozi work +final exam uliyoifanya utajua kama umepita ama laah
Am just trying to think loud! NI CHUO GANI WAMETOA MAJIBU YA UE?? ACHILIA MBALI KUMALIZA UE??Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Mtihani wa project?!?[emoji15]Yap ni kweli
Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa
Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu
Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Mkuu ivi pamoja na ushahidi wote huo tunaoweka hapa bado unatoa ushauri?jikaze uwaambie ukweli. ww sio wa kwanza kufeli. waambie tu maana hata ukiwaficha ipo siku watajua tu.
Taja chuo walichomaliza UE na kutoa majibu acha ujinga wewe mtoto!hilo mkuu siwezi kukwambia kwa sababu za kiusalama zaidi
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasitatizo ni wewe mwenyewe kama unakiri mwenyewe ulifanya mzaha basi acha mzaha
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasiUnasoma nn? Na wap? Maana vyuo vingi naweza sema vyote havijapata matokeo bad vingne ndio vinafanya UE now"
Nadhani uko certificate e
Jiulize ni chuo wametoa majibu mwezi huu?! Ndio kwanza vyuo vingi vinaganya UE! HUYU MTOTO NI MWONGO NA ANALETA UPUUZI HUMUWewe kijana hiyo kozi huna uwezo nayo chakufanya mwakani kasome kozi nyingine.
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasiRelax, Huwezi kucontroll jinsi mtu anavyotaka kureact, they all can't be positive about your situation ukizingatia umejitakia. Hata mimi nakwambia ukome sababu unaonekana mwenyewe you're not a good boy, unamaproud mengi sana na show off za kijinga, anyway ukijitambua utajua ufanye nini na useme nini kwa wazazi.
Sio lazma upate vyote vp ila hapo chuo mademu si unapiga?... upande huo nadhani ujafeliYap ni kweli
Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa
Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu
Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Mkuu do you real think this is true?Jamaa ktk masomo nane kala supp 5 atachomoa vipi Disco? Sijui.... Wenzio wakiona course work zimekaa vibaya sana ungeunda zengwe na kuomba kuhairisha mwaka mapemaa unaomba poo. Sasa hapo kaanze kusoma tena prospectus za chuo chenu na vingine ujiandae kuomba upya admission ya kusoma kozi nyingine au chuo kingine.
Kwa idadi ya masomo unayosoma (8) na umefail 5 hiyo obvious ni disco maana ume exceed nusu ya masomo i hope ni kwa semister!Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasiAm just trying to think loud! NI CHUO GANI WAMETOA MAJIBU YA UE?? ACHILIA MBALI KUMALIZA UE??
Au ndio harakati zako za kutafuta umaarufu?? Kama ndio hivyo jua wenzio wanatafuta umaarufu kwa mambo ya msingi sio upuuzi kama huu! Sawa?
Yap ni kweli
Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa
Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu
Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Relax, Huwezi kucontroll jinsi mtu anavyotaka kureact, they all can't be positive about your situation ukizingatia umejitakia. Hata mimi nakwambia ukome sababu unaonekana mwenyewe you're not a good boy, unamaproud mengi sana na show off za kijinga, anyway ukijitambua utajua ufanye nini na useme nini kwa wazazi.
Jiulize ni chuo wametoa majibu mwezi huu?! Ndio kwanza vyuo vingi vinaganya UE! HUYU MTOTO NI MWONGO NA ANALETA UPUUZI HUMU
unalipiwa na loan board?
Sio lazma upate vyote vp ila hapo chuo mademu si unapiga?... upande huo nadhani ujafeli
Ndio uwe serious sasa