Nimepata tatizo la macho toka jana

Nimepata tatizo la macho toka jana

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Macho yangu yanawasha sana na kutoa machozi mengi, pia matongotongo machoni.

Naomba mwenye kujua dawa ya kutumia au ushauri wa kujitibia anisaidie.

Niko na hali mbaya.

Asanteni.
 
Nenda hospital master au pharmacy watakupa ushauri huko kukibuma njoo apa upate ushauri wa tiba mbadala
 
Macho yango yanawasha sana na kutoa machozi mengi pia matongotongo machoni
Naomba mwwnye kujua dawa ya kutumia au ushauri wa kujitibia anisaidie
Niko na hali mbaya
Asanteni
Hapa jf hatukuoni, nenda kwa Dr ambako atakuwa anakusikia na kukuona upate matibabu.
Au wahi kawe kwa Mwamposa.
 
Pole sana nikiwa mdogo niliwahi kupitia hali mfano wa hiyo kwangu nilikua nahisi kama macho yamejaa mchanga siwezi kuangalia kitu hata sekunde 3, sikupata tiba yoyote hiyo hali iliondoka yenyewe
 
Hiyo ni common bacteria infection, na inachagizwa pia na weakened immunity kama unakodolea kwenye mwanga mkali muda mrefu (mfano simu, kompyuta, nk).

Prescription: a good antibiotics from your nearest pharmacy should do. Ukitumia droplets zake, you should be okay in less than 5 days.

NB: Don't forget to apply on both eyes, because sooner or later the healthier one will also be contracted with the same infection.

Stay safe! Good health is such an investment!
 
Fundi akiwa anachoma unaskia chiii chii chii, unaona raha kutazama, kivumbi sasa usiku, ngoma inaamsha dude, u[emoji1787][emoji1787][emoji38]
Ni nomaa unaweza dhani kuna mchanga machoni.
 
Back
Top Bottom