Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
JBU LAKO TATA MKUU, HUWEZ KWASABABU HUNA UJUZ KWNY FANI YA UBASHIRI AU HUWEZ KWASABAB SHEMEJ YAKO KAKUKATAZA?Siwezi beti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JBU LAKO TATA MKUU, HUWEZ KWASABABU HUNA UJUZ KWNY FANI YA UBASHIRI AU HUWEZ KWASABAB SHEMEJ YAKO KAKUKATAZA?Siwezi beti
Unaitwa na shemeji Yako ukale ugaliK
Karibu pm tuyajenge mrembo
Huwezi kuwa na akili ukapata hela alafu unakuja kutangaza hapa! Kwanza hapa kumejaa wachawi! Hilo hulijui! Weee si ni bwege tu!Baba yako ndo akili hana kukuzaa bwege wewe
Unazimgua babyUnaitwa na shemeji Yako ukale ugali
ShukraniList ya biashara zote ni fresh tu, kasolo hiyo namba 5.kilimo inachanga moto hasa kama hauna ABC za kilimo. Hizo zingine risk ya kupoteza mtaji sio kubwa ila tafuta wazoefu wakupe maujanja maisha ni atua.
Vip changamoto zakeKama bodaboda ml 1. 2 unapata ambayo Iko vizuri hiyo ndio biashara kikubwa tafuta derevq muaminifu
SitakiTafuta odds 2 za uhakika, utanishukuru baadae
ShukraniMkuu suala la kuwa na Akaunti ya Benki ni Muhimu Kwa Wafanya biashara.
Kama unahitaji Kukua Kibiashara, huna budi kufungua akaunti ya biashara
🙏🙏🙏Shukrani
[emoji14][emoji14][emoji14]Si bora unipe mie nikupe kile ambacho hupewagi
Tako au ???Si bora unipe mie nikupe kile ambacho hupewagi
Familia ndo kipengere wanakula kila kitu,Una familia?
Fungua kibanda cha uwakala wa m pesa n.kNina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Nlikua nasoma kwa makini sana, ila nlivosoma hapo kwenye bold nkawaza tu kuliko kumfungulia mtu biashara bora hela yako uinywe.Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Sifahamu, kama upo dar kuna uzi unaelezea ratiba za minada search upate majibu.Hivi utaratibu wa kufuata minada ukoje?
HakikaWewe sio mfanyabiashara na hichi kitu ndicho kinachowatesa waajiriwa.
Siri ya biashara ni uthubutu basi
Maana kwenye uthubutu ndipo utakapo jifunza vingi
Ongeza wigo kwenye mchongo uliokuwezesha kuipata iyo hela.Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.