Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

Kazini kwetu marufuku biashara, hawezi kubali uwanja wake nafanyia plan B, ni taasisi binafsi. So haiwezekani, licha ya hivyo figisu zitaanza mkuu
Kwa muktadha huo Sawa. Nunua pikipiki endesha mwenyewe baada ya mda wa kazi masaa sita yanatosha sana kukupa pato la ziada plus weekends
 
Kwa muktadha huo Sawa. Nunua pikipiki endesha mwenyewe baada ya mda wa kazi masaa sita yanatosha sana kukupa pato la ziada plus weekends
Pikipiki gani zinahiti sana hapa mjini? Boxa au tvs?
 
Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.

1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)

NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Hizo idea zote ni nzr ila km huna ujuzi nazo na wala huwezi kusimamia eti mpk umpe mtu utafeli usithubutu
 
Na vip kitatokea nini Endapo nitafanya bila kuwafata TRA maana jamaa adi Leo anakwepa
Siku waje kufanya operations zao wakukute hujawahi kukadiriwa Kodi na hujalipa, adhabu yake huwa ni kufilisi

Lakini Kuna faida nyingi za kulipa Kodi ikiwemo kukopesheka Benki, ukitaka kuongeza Mtaji kidogo unaenda NMB ama Benki nyingine wanakupa Mkopo ili kupanua biashara yako
 
Siku waje kufanya operations zao wakukute hujawahi kukadiriwa Kodi na hujalipa, adhabu yake huwa ni kufilisi

Lakini Kuna faida nyingi za kulipa Kodi ikiwemo kukopesheka Benki, ukitaka kuongeza Mtaji kidogo unaenda NMB ama Benki nyingine wanakupa Mkopo ili kupanua biashara yako
Saloon na kuingiza nyimbo na movie wanaweza kukupa kamkopo?
 
Saloon na kuingiza nyimbo na movie wanaweza kukupa kamkopo?
Ndiyo, kutegemeana na Mauzo yako Kwa Mwaka.

Unachotakiwa ni kufungua akaunti ya Benki, na kuhakikisha hela zote za Mauzo zinapitia Benki

Baada ya Mwaka mmoja utaprinti Statement ya kuonesha Debits and Credits zako.

Kama utakuwa na Mauzo ya wastani wa shilingi 5M, basi unaweza kukopeshwa milioni 3 hadi 3.5 hivi
 
Duka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupo
zama zimebadilika uaminifu hakuna,siku hizi mfanyakazi ukimweka naye anakuja na mfuko wake wa unga au sukari anauzia hapohapo
 
Kwa wataalamu WA accounting and auditing nilifungua duka kuniibia ni ngumu sana na ata ukiiba ni kiduchu sana
Wewe ni expert sasa anakuibiaje hapo mzee unapiga hesabu mpaka punje za mahindi na mchele zipo kiasi gani
 
Ndiyo, kutegemeana na Mauzo yako Kwa Mwaka.

Unachotakiwa ni kufungua akaunti ya Benki, na kuhakikisha hela zote za Mauzo zinapitia Benki

Baada ya Mwaka mmoja utaprinti Statement ya kuonesha Debits and Credits zako.

Kama utakuwa na Mauzo ya wastani wa shilingi 5M, basi unaweza kukopeshwa milioni 3 hadi 3.5 hivi
Ko natakiwa nikipata ela niweke benk?
 
Hawezi kuniibia mzee,kila kinachofanyika dukani lazima kiwe na source documents,
 
Back
Top Bottom