zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Una utaka?Una familia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una utaka?Una familia?
Kwa muktadha huo Sawa. Nunua pikipiki endesha mwenyewe baada ya mda wa kazi masaa sita yanatosha sana kukupa pato la ziada plus weekendsKazini kwetu marufuku biashara, hawezi kubali uwanja wake nafanyia plan B, ni taasisi binafsi. So haiwezekani, licha ya hivyo figisu zitaanza mkuu
Pikipiki gani zinahiti sana hapa mjini? Boxa au tvs?Kwa muktadha huo Sawa. Nunua pikipiki endesha mwenyewe baada ya mda wa kazi masaa sita yanatosha sana kukupa pato la ziada plus weekends
Hizo idea zote ni nzr ila km huna ujuzi nazo na wala huwezi kusimamia eti mpk umpe mtu utafeli usithubutuNina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Kwa wataalamu WA accounting and auditing nilifungua duka kuniibia ni ngumu sana na ata ukiiba ni kiduchu sanaToa maelezo utajuaje km unaibiwa na wewe kuja kuangalia ni mwezi mpaka mwezi?
Samahan mkuu unawezaje kutambua wizi?Kwa wataalamu WA accounting and auditing nilifungua duka kuniibia ni ngumu sana na ata ukiiba ni kiduchu sana
Siku waje kufanya operations zao wakukute hujawahi kukadiriwa Kodi na hujalipa, adhabu yake huwa ni kufilisiNa vip kitatokea nini Endapo nitafanya bila kuwafata TRA maana jamaa adi Leo anakwepa
Wakiwa wana-fake maisha humu huwa wanadhani hatuwajui,huwa nawachora tu.Ongeza: Utofauti ni location tu umemkuta wapi akiwa kwenye hali gani?
Saloon na kuingiza nyimbo na movie wanaweza kukupa kamkopo?Siku waje kufanya operations zao wakukute hujawahi kukadiriwa Kodi na hujalipa, adhabu yake huwa ni kufilisi
Lakini Kuna faida nyingi za kulipa Kodi ikiwemo kukopesheka Benki, ukitaka kuongeza Mtaji kidogo unaenda NMB ama Benki nyingine wanakupa Mkopo ili kupanua biashara yako
Unaibiwa vizuri tu mzee. Kijana anauza mzigo wote ananunua mpya ukija unaambiwa biashara ngumu na Mali unaiona . Usimamizi wa karibu ni muhimu sanaKwa wataalamu WA accounting and auditing nilifungua duka kuniibia ni ngumu sana na ata ukiiba ni kiduchu sana
Pesa umeshapoteza, bora ukanywe bia tuu …huna mudaNatamani kuthubutu lakini lazima nifanye analysis za kutosha kabla sijapoteza pesa zangu.
Ndiyo, kutegemeana na Mauzo yako Kwa Mwaka.Saloon na kuingiza nyimbo na movie wanaweza kukupa kamkopo?
Hapana zipo nbc malengo accountPesa umeshapoteza, bora ukanywe bia tuu …huna muda
zama zimebadilika uaminifu hakuna,siku hizi mfanyakazi ukimweka naye anakuja na mfuko wake wa unga au sukari anauzia hapohapoDuka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupo
Wewe ni expert sasa anakuibiaje hapo mzee unapiga hesabu mpaka punje za mahindi na mchele zipo kiasi ganiKwa wataalamu WA accounting and auditing nilifungua duka kuniibia ni ngumu sana na ata ukiiba ni kiduchu sana
ASamahan mkuu unawezaje kutambua wizi?
Ko natakiwa nikipata ela niweke benk?Ndiyo, kutegemeana na Mauzo yako Kwa Mwaka.
Unachotakiwa ni kufungua akaunti ya Benki, na kuhakikisha hela zote za Mauzo zinapitia Benki
Baada ya Mwaka mmoja utaprinti Statement ya kuonesha Debits and Credits zako.
Kama utakuwa na Mauzo ya wastani wa shilingi 5M, basi unaweza kukopeshwa milioni 3 hadi 3.5 hivi