Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo shimo la takataka za mwilini ulilonalo lililopo huko nyuma kwako utampa kwa muda gani alitumie akikupa hio 1.3M?Si bora unipe mie nikupe kile ambacho hupewagi
Mfano akaunti ya kampuni inaitaji signatures zenu nyote kama ni partiners na pesa yote inalipwa kwenye akaunti moja mnaibianaje?Kuwekeza na mtanzania ni suicide dive,kama watu wanaiba Hadi Kodi waliyotoa maskini unafikiri kuna zaidi wanaogopa,Hadi kura zinaibwa.Tz kila mtu ana vina saba vuba wizi.
Mimi ni shahidi wa matukio ya partners kupigana na vitu vizito,mtu anaiba anakuacha kama mkiwa,nadhani taifa hili Lina vita ya mtu kwa mtu.
Nimefanya biashara January to June,nikapata asilimia 75%,kuitunza mpaka January ijayo nimeila yote hapa nilipo nasubiri bakora za wasiojulikana sababu nimeyatimba na January Iko mbali,biashara za msimu ni kipengeleKwani ana wenge nazo?🤣🤣🤣
Basi atamaliza zote
Kilo 3 za karangaHata elf 10 inaweza fanya biashara ya aina yake
Unamaanisha anunue Gobole ngapi zitakazomsaidi kwa hio shughuli na je afanye mwenyewe au aajiri vijana wasio na ajira kwa ajili ya hio shughuli?Tafuta chuma. Uwe unapiga matukio benki
Yap! Hyo ndio changamoto kubwaVip hawaleti hesabu?
Amuombe @mshang ideaTulia kwanza nazo...utapata tu idea
Wakulima wa korosho huko ni neema tu yaan kwa waliootea sasa hivi wanakula pension msimshangae yule mmakonde mgawa range rover 2 kwa mkupuo na kuzitupia kwenye mashimo matatu ya shangazi fulaniNimefanya biashara January to June,nikapata asilimia 75%,kuitunza mpaka January ijayo nimeila yote hapa nilipo nasubiri bakora za wasiojulikana sababu nimeyatimba na January Iko mbali,biashara za msimu ni kipengele
Hilo dume la tandale kwa tumbo linalosaka akina pdidy?Amuombe @mshang idea
Hii waambie kabisa ni operations & management maana wasije wakatoka kwenye reli
Hii ya nguo nitaifanya mwenyewe kwa mikono yangu mkuuHizo za nampa mtu utatupa pesa yako ndgu.
Bora biashara ile ambayo walau una muda nayo, vijana wanaunguza sana mitaji aisee.
Hiyo ya belo la nguo na kusepa nazo bush nimeipenda ila ukiifanya mwenyewe na iyo bonda ikusaidie chaka to chaka na kufata minada.
Toa maelezo utajuaje km unaibiwa na wewe kuja kuangalia ni mwezi mpaka mwezi?Duka la mangi hata kama ukimuweka mtu kuibiwa utajua tofauti na hizo biashara nyingine
Hivi utaratibu wa kufuata minada ukoje?Hizo za nampa mtu utatupa pesa yako ndgu.
Bora biashara ile ambayo walau una muda nayo, vijana wanaunguza sana mitaji aisee.
Hiyo ya belo la nguo na kusepa nazo bush nimeipenda ila ukiifanya mwenyewe na iyo bonda ikusaidie chaka to chaka na kufata minada.
Hapo kazini kwako ndio mahali pazuri pa kuanzia , Anza kutoa mikopo midogo midogo kwa wafanyakazi wenzako isiyozidi 50k , weka mazingira mazuri kwa hr na watu wa accounts namna ya kupata rejesho. Factors nyingine kama majungu kazini watu wasiokopesheka nk ziweke kwenye mzaniNina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Sahihi kabisa, Operation and Maintenance (Uendeshaji na Matengenezo)Hii waambie kabisa ni operations & management maana wasije wakatoka kwenye reli
Hivyo hivyo maana mwingine atasema operations & management kumbe ni vingine kabisaSahihi kabisa, Operation and Maintenance (Uendeshaji na Matengenezo)