fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Njoo DM tuyajenge basiSi bora unipe mie nikupe kile ambacho hupewagi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo DM tuyajenge basiSi bora unipe mie nikupe kile ambacho hupewagi
Usifanye biashara usio na ujuzi wala muda nayo. Ipo clear mkuu.Sawa, ila kaishia tu kunichimba bit
😂 HahaTafuta chuma. Uwe unapiga matukio benki
Sasa nifanye nini?Usifanye biashara usio na ujuzi wala muda nayo. Ipo clear mkuu.
Nipe nusu ya hyo kila siku unidai elfu kumi nawewe uwe bosi.Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Chukua boda endesha mwenyewe huku ukikusanya mtaji wa kufanya kitu kikubwa zaidiNina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Salary plus michezo, lengo ilikua niiongezee izaeEndelea kufanya hicho kilichokufanya upate hiyo hela.
Siwezi kuendesha mkuuChukua boda endesha mwenyewe huku ukikusanya mtaji wa kufanya kitu kikubwa zaidi
Miliki chuma uwe unazunguka kwenye m-pesa. Ni mwendo wa kuokota tuSasa nifanye nini?
SitakiNipe nusu ya hyo kila siku unidai elfu kumi nawewe uwe bosi.
Samahan unaweza nifafanulia kidogo?Mmiliki chuma uwe unazunguka kwenye m-pesa. Ni mwendo wa kuokota tu
Si unajifunza? Au unaogopa ajali?Siwezi kuendesha mkuu
Ukiwa na chuma. Wewe unakua unachagua wapi ukakusanye pesaSamahan unaweza nifafanulia kidogo?
Siogopi ajali Tatizo ni kua nina ajira fulani sekta binafsi ko nakuua free kuanzia sa 10 jion na wikiend tu.Si unajifunza? Au unaogopa ajali?
Kuiba auUkiwa na chuma. Wewe unakua unachagua wapi ukakusanye pesa
Sasa jioni huwez kuendesha boda au unaona aibu?Siogopi ajali Tatizo ni kua nina ajira fulani sekta binafsi ko nakuua free kuanzia sa 10 jion na wikiend tu.
Fanya kile ulicho na muda na ujuzi nacho. Vinginevyo hiyo pesa ina uwezekano mkubwa wa kupotea.Sasa nifanye nini?
Kabla ya yoye,je wewe ulishawahi kufanya biashara yoyote au ndio unataka kujifunza?Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Siwezi ona aibu mkuu, ila ni hatari kuendesha chombo cha moto ukiwa huna enough skillSasa jioni huwez kuendesha boda au unaona aibu?