Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Tufanye yetu basi na sisi chap au unataka mtoto wetu aje atuite babu na bibi?Kitu ulikuwa unakitafuta na umekipata
Ushauri wa nini sasa hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye yetu basi na sisi chap au unataka mtoto wetu aje atuite babu na bibi?Kitu ulikuwa unakitafuta na umekipata
Ushauri wa nini sasa hapo?
Yupo na mimiBaba mwenye mimba wako yuko wapi?
Tuanzie hapo kwanza...
Sasa mwambie mshirikiane kuilea hiyo mimba...Yupo yupo imara kabisa!
Am watching.....Tufanye yetu basi na sisi chap au unataka mtoto wetu aje atuite babu na bibi?
Uzi wangu unaomba ushauri..nimekua na mawazo mawili..sitak nataka..siyo kuomba kufuatlia maendeleo ya mimbaSasa mwambie mshirikiane kuilea hiyo mimba...
Hapa JF tuko bize na ujenzi wa Taifa, sio kufuatilia mimba za watu...
Ili baadaye uje na uzi wa kutafuta mwanaume wa kukuoa ukiwa single mother na watu wakuchambe kwa kukuuliza uliyezaa naye yupo hai? Nataka kusema umechukua uamuzi wa kijinga sana! Ungetafuta mume na baada ya ndoa uzaeIli?
Ooh! Sasa umezunguka sana ungenishauri kwa upole tu mkuu! Ooh nimekuelewa asante!!Ili baadaye uje na uzi wa kutafuta mwanaume wa kukuoa ukiwa single mother na watu wakuchambe kwa kukuuliza uliyezaa naye yupo hai? Nataka kusema umechukua uamuzi wa kijinga sana! Ungetafuta mume na baada ya ndoa uzae
hahahahahaSasa mwambie mshirikiane kuilea hiyo mimba...
Hapa JF tuko bize na ujenzi wa Taifa, sio kufuatilia mimba za watu...
Mimi kama mzazi sikushauri nakukanya! Au hakikisha aliyekupa mimba akuoe si kukuzalisha ili uongeze single mothersOoh! Sasa umezunguka sana ungenishauri kwa upole tu mkuu! Ooh nimekuelewa asante!!
Kwanza wazo la kuitoa achana nalo.Uzi wangu unaomba ushauri..nimekua na mawazo mawili..sitak nataka..siyo kuomba kufuatlia maendeleo ya mimba
Sio wivu bali nakuangalia tu, jinsi unavyomchelewesha...
Asee ngoja nifanye haraka babu. Andaa tu yule kondoo mwenye mkia mnono akijifungua tumpikie mtori.Sio wivu bali nakuangalia tu, jinsi unavyomchelewesha...
Unajua kabisa huyu binti lazima aje kwenye ukoo wetu...
Ukiendelea kuchelewa, nitam-mimbisha mimi mwenyewe...
Usije ukasema sijakuonya mapema
Kama hukutumia condom, basi wewe na mzinzi mwenzio mlikuwa mnatakaUzi wangu unaomba ushauri..nimekua na mawazo mawili..sitak nataka..siyo kuomba kufuatlia maendeleo ya mimba