Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Enh aseme usikute ni wetu.
mana we nae kwa kunipa hekaheka!
Mxxxxiiiew
Shemela heri ya mwaka mpya...

Afu kwanini unanivunjia heshima?

Mie kweli ni mkware lakini sichugi vitoto vidogo asee...

Nitake radhi haraka sana
 
Hongera sana , muda unavyozidi kusogea utazidi kuzoea hali halisi kuwa wewe ni mama mtarajiwa . Anza kuweka bound na mtoto wako kwanzia sasa .
Kila la kheri .
 
Shemela heri ya mwaka mpya...

Afu kwanini unanivunjia heshima?

Mie kweli ni mkware lakini sichugi vitoto vidogo asee...

Nitake radhi haraka sana
Mguu mmoja wa nyuma pale Mamsera na Bohora 3.
On me.
I miss you bana
 
Mguu mmoja wa nyuma pale Mamsera na Bohora 3.
On me.
I miss you bana
Waow!!!

Hakyamama umejua kunipata.... Yani koromeo limetekenya ghafla

Miss you more shemela.... fanya mpango basi tuondoe huku kumisiana...
 
Back
Top Bottom