snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Mtoto anatupigia kelele tumboniHivi mkiwa kwenye ujauzito kwanini mnakuaga wasumbufu sana na makelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto anatupigia kelele tumboniHivi mkiwa kwenye ujauzito kwanini mnakuaga wasumbufu sana na makelele
Ni mabadiliko tu pengine watafiti wanajua zaid!Hivi kwanini mwenye mimba akili inakua sio yake, huwa mnapatwa na nini!!
No trials.Asante! Najaribu kujitosa nione!!
[emoji3][emoji3]tuwe kama dokta mwaka na wakeze [emoji3][emoji3] siyo yake buana!Enh mwenzangu aseme ili na mi niwe snowhitejibebe.
Muwe watulivu jamani mnatupa presha sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtoto anatupigia kelele tumboni
Ooh!No trials.
Tayari umeshaanza safari.
Embrace it and enjoy the path.
Huu ni ujauzito wako wa ngapi,Ni mabadiliko tu pengine watafiti wanajua zaid!
Shemela heri ya mwaka mpya...Enh aseme usikute ni wetu.
mana we nae kwa kunipa hekaheka!
Mxxxxiiiew
Hormone ndo zinapelekea hali hiyo .Hivi kwanini mwenye mimba akili inakua sio yake, huwa mnapatwa na nini!!
Oooh!!thank u for such a sweety word darling!!You will be just fine honey.
Motherhood is a beautiful journey.
Words cannot explain.
Okey safi nashukuru kwa ufafanuziHormone ndo zinapelekea hali hiyo .
Umenishushuaaaawkati wa sodoma mbona hukutukumbuka ?
Mguu mmoja wa nyuma pale Mamsera na Bohora 3.Shemela heri ya mwaka mpya...
Afu kwanini unanivunjia heshima?
Mie kweli ni mkware lakini sichugi vitoto vidogo asee...
Nitake radhi haraka sana
Hapana sifahamu, Iceberg9.Hivi mkiwa kwenye ujauzito kwanini mnakuaga wasumbufu sana na makelele
Waow!!!Mguu mmoja wa nyuma pale Mamsera na Bohora 3.
On me.
I miss you bana
Upo? Oh muda sana sijakusikiaHapana sifahamu, Iceberg9.