snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Raha si tulipata wote?Muwe watulivu jamani mnatupa presha sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha si tulipata wote?Muwe watulivu jamani mnatupa presha sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani alipiga sana kelele za kufika kileleni huyo huyoRaha si tulipata wote?
Hahah unataka kukaribisha gasho kwa ukoo we mzee? 😂😂Sio wivu bali nakuangalia tu, jinsi unavyomchelewesha...
Unajua kabisa huyu binti lazima aje kwenye ukoo wetu...
Ukiendelea kuchelewa, nitam-mimbisha mimi mwenyewe...
Usije ukasema sijakuonya mapema
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nani alipiga sana kelele za kufika kileleni huyo huyo
Jaman!Hongera kwa kukojolewa ndan
Asante!!Hongera sana , muda unavyozidi kusogea utazidi kuzoea hali halisi kuwa wewe ni mama mtarajiwa . Anza kuweka bound na mtoto wako kwanzia sasa .
Kila la kheri .
C siula la kupongeza mkuu?Jaman!
Hiyo luga ulotumia had nimeona aibu yaanC siula la kupongeza mkuu?
Ngoja niwahi fasta nikaupime ufala wangu....Hahah unataka kukaribisha gasho kwa ukoo we mzee? 😂😂
Nendeni FB mkasearch careenjibebe mtaona mmepoteza muda tu kutoa maoni kwenye huu uzi
[emoji3][emoji3][emoji3] mwenzangu! Sijui ndo akili zishabadilika?Umeulilia wembe hatimaye umekukata unabaki tena unajiuliza kama umekukata?
Nawaza maadiliko ya kuumwa..kulea majukumu! Yaan maisha kubadilika kwa ujumpa sioni aibu hataChangamoto inayopata ke walio wengi hasa ambao bado hawajaolewa na wakapata ujauzito ni ile hali ya kujihisi vibaya wakati tumbo limeshaanza kuonekana.
Kwa mujibu wa mama kijacho fulani anadai huwa wanajiona wanyonge na kuhisi aibu kwakuwa eti kila mtu anakuwa anajua dhahiri shahiri kuwa huyu dada naniliu kaT°mBW@.
Kawaida sana, mwanamke kuzaa baaana!
Hawa ndo wale ambao wanafanya mambo ya ajabu kisha wanaisingizia mimba.mambo mengine ni kujiendekeza tu hakuna la maana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inakuwa ya mtoto.
inaonekana unauzoefu jiraniHivi mkiwa kwenye ujauzito kwanini mnakuaga wasumbufu sana na makelele
😂😂 kibaya zaidi hili gasho ni kada la mboga mbogaNgoja niwahi fasta nikaupime ufala wangu....
Mamamamae mi kumbe bwege,,, dah
Utakua hutupendi wajawazito weweHawa ndo wale ambao wanafanya mambo ya ajabu kisha wanaisingizia mimba.mambo mengine ni kujiendekeza tu hakuna la maana.
Utamsikia mwanamke anasema eti ndo mimba yake inampeleka hivyo [emoji15][emoji15]mimba yake my futi[emoji57]..
Unakuta mjamzito mchafu,anarusha mate utafikiri nyoka ndugu msomaji..mdomo alivyouegesha sasa keleuwiii[emoji16][emoji16]jamani
Labda eenh?