Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Weeeeee...... Jamani weweeeeeee[emoji39]
Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unayo niambie plz
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke.
Napenda sana mjazito, nitamdekeza hadi atakua anakumbuka na kutamani kutiwa mimba tena[emoji28][emoji28][emoji28]
Hebu umeache careenjibebe wangu[emoji1]
DA71CB09-70EA-4E52-9775-B66088F55924.jpeg
 
Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unayo niambie plz
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unayo niambie plz
Umesema asiye kisirani ee??mimi nilijua I nawapenda hata hao visirani😁
Siku nyingine usiseme adui wa mwanamke ni mwanamke kama unachagua wajawazito wa kuwapenda.

Siku ukimpenda na huyo mwenye kisirani basi adui wa mwanamke ni mwanamke 😁Hallelujah
 
Umesema asiye kisirani ee??mimi nilijua I nawapenda hata hao visirani[emoji16]
Siku nyingine usiseme adui wa mwanamke ni mwanamke kama unachagua wajawazito wa kuwapenda.

Siku ukimpenda na huyo mwenye kisirani basi adui wa mwanamke ni mwanamke [emoji16]Hallelujah
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]visirani hapana
 
Unajua nini?
Lengo langu limetimia, nilitaka utabasamu.
Mimi nikiona mjamzito nitafanya kila namna afurahi....ninapenda kuona mwanamke mwenye mimba sijui kwanini[emoji38][emoji38]
Itakuwa unataka lile joto joto tu.
 
Unajua nini?
Lengo langu limetimia, nilitaka utabasamu.
Mimi nikiona mjamzito nitafanya kila namna afurahi....ninapenda kuona mwanamke mwenye mimba sijui kwanini[emoji38][emoji38]
[emoji3][emoji3] sante!!
 
Back
Top Bottom