careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
- Thread starter
- #141
Bas sawa!Mimi ni mwanamke mwenzako madame.ninachokiongea nakijua [emoji817] hakuna kigeni hapo.nikujiendekeza tu kwenye baadhi ya vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas sawa!Mimi ni mwanamke mwenzako madame.ninachokiongea nakijua [emoji817] hakuna kigeni hapo.nikujiendekeza tu kwenye baadhi ya vitu
Asante sana!uende kuanza clinik.
Usipuuze kunywa vidonge vya kuongeza damu.
Jaman!![emoji847]Adui wa mwanamke ni mwanamke.
Napenda sana mjazito, nitamdekeza hadi atakua anakumbuka na kutamani kutiwa mimba tena[emoji28][emoji28][emoji28]
Hebu umeache careenjibebe wangu[emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji23]Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unayo niambie plz
[emoji23]mnanifurahishaUmesema asiye kisirani ee??mimi nilijua I nawapenda hata hao visirani[emoji16]
Siku nyingine usiseme adui wa mwanamke ni mwanamke kama unachagua wajawazito wa kuwapenda.
Siku ukimpenda na huyo mwenye kisirani basi adui wa mwanamke ni mwanamke [emoji16]Hallelujah
SawaMwambie kama hakubali kufunga ndoa unaitoa
Asante umenisaidia mie nimemuangalia nikaona uvivu hata kumjibu!Acha wivu kwa mwanamke mwenzako, wewe kama ulichoropoa mimba ukiwa mwanafunzi ni wewe?
Jibu lako lina sadiki upunguze ushamba careenjibebe semezana na mdau wakoWe jamaa nani kakwambia mi mwanamke mwenzake aseee
Acha wivu kwa mwanamke mwenzako, wewe kama ulichoropoa mimba ukiwa mwanafunzi ni wewe?
Tusubiri yule tuliyenae awe mkubwa kidogo basiTufanye yetu basi na sisi chap au unataka mtoto wetu aje atuite babu na bibi?
Hilo joto huwa linafanyaje??Itakuwa unataka lile joto joto tu.
Anatakiwa apate mdogo wake bana. Huoni anavyodeka kisa yupo mwenyewe?Tusubiri yule tuliyenae awe mkubwa kidogo basi
Anatakiwa apate mdogo wake bana. Huoni anavyodeka kisa yupo mwenyewe?
unakataa unabiiWayiii nataka wakiume mie
Haina shida hizo kawaida sana tuZile nights za kukesha tunabembeleza mtoto umezimiss mapema namna hii?
Kuna nyimbo huko anasema kabxa mwagia ndani ..nayo hauskizii?Hiyo luga ulotumia had nimeona aibu yaan