ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nifundishe kingreza basi nawe, kingreza chako kitam sio poa[emoji39]You will be just fine honey.
Motherhood is a beautiful journey.
Words cannot explain.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifundishe kingreza basi nawe, kingreza chako kitam sio poa[emoji39]You will be just fine honey.
Motherhood is a beautiful journey.
Words cannot explain.
Kingreza cha nini kamata weed moja kitakuja chenyewe.Nifundishe kingreza basi nawe, kingreza chako kitam sio poa[emoji39]
Weed hapana, na uzee huu nawehuka. We nipe darasa la peke yetu..Kingreza cha nini kamata weed moja kitakuja chenyewe.
Yaani umemwitaje?Hahaha..!!
Laazizi si ungekuwepo..!?
Njoo tumuwekee mtoto masikioNahisi nina mimba[emoji1751] kabla sijaipata niliitaman na nikasema niitafute..nikaitafuta kama miez miwili hiv hola sasa mwezi huu nimenasa! Naogopaaa! Nawaza? Nifanyaje? Nitamudu? Kazi zangu itakuaje? Hlf tayar sasa nakunywa soda tu muda wote sitak mdomo ubak bila kitu..ladha imekua mbaya mdomoni..nawaza tabu za mimba mpaka nijefika miez tisa? Sielew hapa ni kama sitak nataka? Hebu nishaurini nifanyaje? Upande mwingine napata picha ndiyo nimejifungua aah raha sana na katoto kangu kananichangamsha! Nishaurini kwa upole tu mwenzenu mnajua tena mwenye mimba akili inakua siyo yake
Khaaaa sitakiNjoo tumuwekee mtoto masikio
Hapo pa pekee yetu ngastuka.Weed hapana, na uzee huu nawehuka. We nipe darasa la peke yetu..
Ahaa, unachotakiwa kufanya, jitahidi upate busta mrembo, hautasumbuliwa na mimba na utakuwa mwenye furaha, unahitaji kujua aina ya busta?Nahisi nina mimba[emoji1751] kabla sijaipata niliitaman na nikasema niitafute..nikaitafuta kama miez miwili hiv hola sasa mwezi huu nimenasa! Naogopaaa! Nawaza? Nifanyaje? Nitamudu? Kazi zangu itakuaje?
Hlf tayar sasa nakunywa soda tu muda wote sitak mdomo ubak bila kitu..ladha imekua mbaya mdomoni..nawaza tabu za mimba mpaka nijefika miez tisa? Sielew hapa ni kama sitak nataka? Hebu nishaurini nifanyaje? Upande mwingine napata picha ndiyo nimejifungua aah raha sana na katoto kangu kananichangamsha!
Nishaurini kwa upole tu mwenzenu mnajua tena mwenye mimba akili inakua siyo yake
Ndiyo? Busta ni nini na naipata wap?Ahaa, unachotakiwa kufanya, jitahidi upate busta mrembo, hautasumbuliwa na mimba na utakuwa mwenye furaha, unahitaji kujua aina ya busta?
Si ulichomwa sindano nayo ikazaa mimba?Ndiyo? Busta ni nini na naipata wap?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jirani natarajia hivyo Mungu katuagiza tukaijaze duniainaonekana unauzoefu jirani
Wewe kama mwislam ndoa ya mkeka inakuhusu. Kama ni Mkristo nendeni wewe (ukiambatana na mwanao tumboni); mumeo na Mashahidi wawili tu siku ambayo siyo ya jumapili mfunge ndoa ya kimya.Umenichekesha jaman! Mwisho wa mwezi huu? Acha utan bas mie niko serious ujue
Usishtuke, watu wazima hawadhuriani!!Hapo pa pekee yetu ngastuka.
Huyo mtoto ni wa kike anaitwa JUmenishushuaaaa
Hahaha..!!
Laazizi si ungekuwepo..!?
Khaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nataman niwaambie niliokaa nao sema ni wafanyakaz wangu sasa wataona boss hana heshimaSi ulichomwa sindano nayo ikazaa mimba?
Sasa wahitaji sindano kama hiyo lakini mchomaji tofauti.
Mimi fundi sana wa hizo busta[emoji16]
Wayiii nataka wakiume mieHuyo mtoto ni wa kike anaitwa J
Ngoja nimjaribu nione au nipe mbinu za kumshawish gafla hiyoWewe kama mwislam ndoa ya mkeka inakuhusu. Kama ni Mkristo nendeni wewe (ukiambatana na mwanao tumboni); mumeo na Mashahidi wawili tu siku ambayo siyo ya jumapili mfunge ndoa ya kimya.
Unajua nini?Khaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nataman niwaambie niliokaa nao sema ni wafanyakaz wangu sasa wataona boss hana heshima
Hapo Sasa!!Sasa tukushauri vipi huku ukiwa na akili zisizo zako utatuelewaje sasa.