Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Nimepata ujauzito, nishaurini jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya mwili

Mimi kama mzazi sikushauri nakukanya! Au hakikisha aliyekupa mimba akuoe si kukuzalisha ili uongeze single mothers
Ndo nimempa hilo shart lakin sasa hizi ndoa za sikuhizi hata ukiolewa unaweza achika pia..ndo maana hapa najiwaza mie zaid je ntaweza? Uwii jaman! Sijui najisikiaje hapa
 
Kama hukutumia condom, basi wewe na mzinzi mwenzio mlikuwa mnataka

Sasa leeni kiumbe hicho muijaze dunia... Nakushauri ujifungue kwa operesheni ili mashine iendelee kuwa tight... Vinginevyo huyo mzinzi mwenzio atatafuta mzinzi mwingine amwambukize mimba kama alivyokuambukiza wewe...

Msitusumbue wakubwa wakati tuko bize na mama kulijenga taifa.

Kazi iendelee...
Jaman[emoji848] haya
 
Kwanza wazo la kuitoa achana nalo.

Pili ikifikisha wiki 20 anza clinic za kila mwezi. Huko watakushauri mambo mengi ikiwemo lifestyle, aina ya vyakula, aina ya mazoezi, hali yako na ukuaji wa mimba, maandalizi ya kumpokea mtoto nk.

JamiiForums mobile app
Sawa! Wacha nione jaman yewuuu!
 
Hongera ,kama ujauzito wako hauna changamoto za hapa na pale utafanya kazi zako vizuri ila jitahidi kupata muda wa kupumzika, pia kuwa tayari kuacha baadhi ya mambo hasa ukifikia stage ya kulea.Kama baba mtoto anakusapoti ni vema zaidi maana malezi ya mimba & mtoto yana changamoto kiasi .
Mungu akutunze mamiloo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri mkuu! Wacha nione!!
 
Ndo nimempa hilo shart lakin sasa hizi ndoa za sikuhizi hata ukiolewa unaweza achika pia..ndo maana hapa najiwaza mie zaid je ntaweza? Uwii jaman! Sijui najisikiaje hapa
Huo ni ujinga! Ndoa huwa haijaribiwi, olewa na uhakikishe mnaishi wote bila kuachana. Ukiingia katika ndoa na Wazo la kuachana, lazima ipo siku mtaachana. Hakikisha unamganda kama rubi. Useme hatoki mtu hapa. Kila la heri na hakikisha unafunga ndoa kabla ya mwisho wa mwezi huu
 
Nahisi nina mimba[emoji1751] kabla sijaipata niliitaman na nikasema niitafute..nikaitafuta kama miez miwili hiv hola sasa mwezi huu nimenasa! Naogopaaa! Nawaza? Nifanyaje? Nitamudu? Kazi zangu itakuaje? Hlf tayar sasa nakunywa soda tu muda wote sitak mdomo ubak bila kitu..ladha imekua mbaya mdomoni..nawaza tabu za mimba mpaka nijefika miez tisa? Sielew hapa ni kama sitak nataka? Hebu nishaurini nifanyaje? Upande mwingine napata picha ndiyo nimejifungua aah raha sana na katoto kangu kananichangamsha! Nishaurini kwa upole tu mwenzenu mnajua tena mwenye mimba akili inakua siyo yake

Hivi kwanini mwenye mimba akili inakua sio yake, huwa mnapatwa na nini!!
 
Huo ni ujinga! Ndoa huwa haijaribiwi, olewa na uhakikishe mnaishi wote bila kuachana. Ukiingia katika ndoa na Wazo la kuachana, lazima ipo siku mtaachana. Hakikisha unamganda kama rubi. Useme hatoki mtu hapa. Kila la heri na hakikisha unafunga ndoa kabla ya mwisho wa mwezi huu
Umenichekesha jaman! Mwisho wa mwezi huu? Acha utan bas mie niko serious ujue
 
Back
Top Bottom