Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa namna hii huwa nawapotezea tu sitak kisiran mie! Yanini nipoteze muda na adui wakat ninaye rafiki?Jibu lako lina sadiki upunguze ushamba careenjibebe semezana na mdau wako
Siutak bana maneno huumba wacha nijinene mieunakataa unabii
Nafikiria mengi! Nawaza uzazi wa siku hizi ni majanga..kujifungua salama! Kupata mtoto mwenye afya yaan wacha tu!Mbona ukiwa na mimba ujasiri unakuingia ghafla wewe kwanini uogope?
Wala mie yangu changa zaid..WiFi yako nae anamimba ndio ina wiki 2!!
Au ndio ww upo Jf
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Asante!!Hongera
[emoji3] hata siijuiKuna nyimbo huko anasema kabxa mwagia ndani ..nayo hauskizii?
Sasa next time usiseme adui wa mwanamke ni mwanamke ikiwa bado hujawahi kukumbana na wajawazito visirani dotikomu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]visirani hapana
Girlie,Hallelujah
Niseme nini sasa?Girlie,
yo missed and I do loves you..!
Mdogo wangu kipenzi,Niseme nini sasa?
Ubarikiwe sana dadanguMdogo wangu kipenzi,
Pahala roho ya dada imelala walaqhi'..!
bado haijafika huko kwenu utaiskiza tu...hahaha[emoji3] hata siijui
Pole. Achana na mawazo focus kwny lishe na mazoezi madogo madogo. Mawazo yataathiri afya ya mtoto alie tumboni.Nafikiria mengi! Nawaza uzazi wa siku hizi ni majanga..kujifungua salama! Kupata mtoto mwenye afya yaan wacha tu!