Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mzaaa kunywa soda asee jibu lako hadi nimecheka mbele za wakuu wangu kwa ofisi!!!
 
Duu!!pole sana mazaa!!ila inaonyesha unpenda sana kugegedwa!!yaani umefika hotelin tuu hapo hapo ukatafuta mwenyewe gegeduo!!wee noma haki ya mungu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Duu!!pole sana mazaa!!ila inaonyesha unpenda sana kugegedwa!!yaani umefika hotelin tuu hapo hapo ukatafuta mwenyewe gegeduo!!wee noma haki ya mungu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Tena siyo mmoja bali wawili. Inaonekana akiwa safari alikuwa anawapanga kwa masaa. Uko ni Morogoro je Arusha ana wangapi. Akienda Dar nako anawapanga
 
Ulipokuwa watanua hukujua wamtanulia nani
Sasa sisi hatukuwepo wakati waninginizwa kama nyama bucha sisi tutajuaje?
Mtafute aliyechuna ngozi wakati waninginia ndie atajua mimba ya nani
 
Mmmmhhh hata mimi nilipitia "Usichana" lakini hii yako ni "Chiboko" wanaume wawili per night?? Aiseee..... Hongera sana kwa kupata hiyo mimba...... maana siku hizi pia kupata mimba nayo ni "deal"........ Ukianza kuumwa kiuno na mgongo usitafute mchawi.... uchawi wako upo kwenye kuchanganya shahawa bila mpangilio ni hayo tuuu
 
Tena siyo mmoja bali wawili. Inaonekana akiwa safari alikuwa anawapanga kwa masaa. Uko ni Morogoro je Arusha ana wangapi. Akienda Dar nako anawapanga
Yaani mpaka hapo tayari inaonyesha ni kicheche[emoji85] [emoji85]
 
Umeshalikoroga huna budi kulinywa.... ingekua vizuri kama ungekuja kuomba ushauri kabla ya kugegedwa, nakutakia ufyatuaji mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…